Ambulance ya Godbless Lema yawasili

Ambulance ya Godbless Lema yawasili

Bwashee sasa mbona umebaki na kadi za ambulance????
 
hongera mbunge lema. serikali ya ccm badala ya kutoa ambulance kwa kodi zetu tunazozitoa inatuletea magari ya washawasha hili kuhalalisha goli la mkono.
 
hizi hiace jaman hata mimi mwenyewe naweza kununua, just 18m, yeye kala ngapi?? Acheni kutudunganya namna hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, yaan unakula 5 years at last unatuletea hiace, ee jamani, mshahara wa mbunge 9,000,000 bila marupurupu (9,000,000*12month)*5yrs. .................. Malizia alafu linganisha na hiace
 
hizi hiace jaman hata mimi mwenyewe naweza kununua, just 18m, yeye kala ngapi?? Acheni kutudunganya namna hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, yaan unakula 5 years at last unatuletea hiace, ee jamani, mshahara wa mbunge 9,000,000 bila marupurupu (9,000,000*12month)*5yrs. .................. Malizia alafu linganisha na hiace


Mkuu, hiyo sio just Haice! Ni haice with all facilities za kuhudumia wagonjwa!
 
Baada ya Miaka Mitano ndo anatoa.... kweli siasa tamu sana
 
Ha ha haaa eti exemption za viongozi. . . . .Huyo mbunge ana exemptions ngapi? ??!!
Mkipenda muwe mnaacha nafasi ya akili kushauri moyo. . . . .

By the way ambulance sio gari ni huduma sasa kuweka picha za 3/5L nyeupe na mstari mwekundu na ving'ora na kusema ni ambulance si sawa. . . . .

Mshukuruni kwa usafiri wa wagonjwa
 
Hi hiace ya kijapan kuna zile mbili za ulaya alizopewa na watanzania wanaoishi UK alipeleka wapi? Lakin zinaonekana hapo Arusha.
 
Watanzania bwana!! Sasa ambulance mbili kwa miaka 5 unashangilia na kumwabudu mtu!!! Tena zimeletwa miezi 3 kabla ya uchaguzi!!! Think big

Ajabu ndio hiyo. . . .Yaani upinzani wanafuata nyayo zilezile walizopitia wengine ambazo hazijawahi kuwa na tija na sio endelevu. . . . .Akikosa jimbo atachukua tu sababu ni zake hizo commuters wananchi wabaki kama alivyowakuta!!!

Nchi hii giza bado nene sana
 
Wandugu, Amejitahidi, ingawa kiukweli hiyo gari ni ya zamani sana na itasababisha gharama za matunzo kuwa juu kutokana na matengenezo ya mara kwa mara.
 
Kichwa ka ndorobo
Nitajie mbunge mmoja wa ccm aliyewahi kununua ambulance hata mbovu haitembei
Acha kutumia masaburi kufikiri
Linapokuja suala la maendeleo endelevu kweli unaweza mwambia mtu aende majimboni kama sehemu ya kujifunzia??!!!!

Utakuwa akili yako umeifunga kati ya CCM na CDM tuu. . . . .maisha ni zaidi ya matendo ya vyama. . . . amka. . . .!!!!
 
Wandugu, Amejitahidi, ingawa kiukweli hiyo gari ni ya zamani sana na itasababisha gharama za matunzo kuwa juu kutokana na matengenezo ya mara kwa mara.

Profesa. . . .Lugha ya "kujitahidi" imetosha kwa kweli. . . Nadhani tunahitaji viongozi "wanaoweza" ili kuanza safari ya kuyafuata maendeleo ya kweli. . .
 
Last edited by a moderator:
Nabado lema atawafunga midomo. Kwa sasa sijui mtaongea nn nahayafanyi haya kwa kuhofia ccm coz ccm huku haipogo anayafanya haya kwamapenzi yake na raia wake namkicheza ataweka mpaka swimming pull mahospitalin nabado ziko mbil bandalin japo serikal haipend maendeleo wanazitoza ushuru mkubwa na kuzing'ang'ania kwa miez zaid ya nane ila tunazichomoa moja moja ccm hoyiiiiiii
 
Back
Top Bottom