Tuheshimiane.Amber Rutty umekuja kufungua Uzi Jamii forum au sio
Ikawaje man?Back in days binamu yangu wa kike niliyemzidi Kama miaka 10 ashawahi kunifuma napiga punyeto
Namimi nashikilia hapa hapa😀😀😀😀Mbona unaenda kasi hivyo Mkuu?
Hebu malizia kwanza, baada ya Binamu kukufuma ukipiga punyeto ikawaje?
Twende mdogo mdogo. Malizia story ya binamu kwanza!
Saaawa, hatujakataa.That's life shits happen.
Hii ndo tunataka kusikiaItapendeza zaidi ukidokeza zaidi juu ya wewe kufumwa na binamu ukila nyeto.
Bro achana na Amber.Popote itakapokuwepo namshauri asirudi nyuma asonge mbele changamoto zipo kwa ajili ya mwanadamu na anapozishinda zinamfanya kuwa the best.
Mkuu ujasiri kwa kuigiza porn video,,au ujasiri kuvumilia gogo kwa nyuma?Kwa asilimia kubwa kwenye maswala ya mapenzi wahanga wakubwa ni wanawake.
Siku chache zilizopita nilikuwa nacheki Tv kipindi kilikuwa cha burudani miongoni mwa wageni wa siku hiyo alikuwa Amber Rutty ambaye aliambatana na mume wake kiukweli walikuwa wamependeza Sana na walikuja kuachia kazi yao mpya ya muziki iliyokwenda kwa jina la JELA interview ilipendeza ila mwishoni Bibie Amber aliwaomba Watanzania kutokumbushia changamoto alizopitia na kubwa zaidi ni kuwa wamsamehe anajuta kwa kilichotokea na anawasihi wanawake wenzake kuwa makini ili wasije kukutana na changamoto alizopitia.
Tone yake ya sauti na alichokisema kilikuwa very touching Kuna moment niliweza kuhisi maumivu anayopitia mwanamke huyo Mimi Baba Morgan naungana na Amber Rutty kumuombea kwa mungu amusamehe.
Back to the topic Ujasiri wa Amber Rutty uko wapi? Back in days binamu yangu wa kike niliyemzidi Kama miaka 10 ashawahi kunifuma napiga punyeto kilikuwa moja ya kitu Cha aibu kilichowahi kunikuta katika maisha yangu kilinibadilisha in negative way ninapoangalia kisa Cha Amber rutty kingetokea kwa mtu asiye brave ni wazi suicide ingetokea lakini amesimama kwa kutumikia adhabu yake, kujutia alipokosea, kukubali kuolewa, kuendelea na maisha yake especially Kufanya muziki na mwisho nipende kumpongeza mume wake that it's unconditional love.
Mwisho Watanzania tupunguze kuwa majaji tutambue only God ndo ana mamlaka ya kujaji ya Amber Rutty yanaweza kuwa madogo kuliko Yale yasiyoonekana jitathmini Kwanza wewe na yale ambayo hujawahi kumwambia mtu then uje ujadili ya wenzako.
From northern part of Tanzania.
View attachment 1845737
Hawakutumia busara hata kidogo lengo la kumuonyesha mzee wake lilikuwa ni nini? Ingetosha kumwambia tu ili vingine mzee ajiongeze mwenyeweBaada ya Ile video kusambaa mtandaoni kule Bombambili Raia walimuonyesha Mzee wake Ile Video. Na Mzee wake alikataa kuwa aliyeigiza Ile video sio mwanae.
Alikuwa ana practice kile kinachopigwa chapuo na wabongo kwa bahati mbaya Mambo yakawa hadharani.Alifanya kusudi...
Ujasiri wa kuja mbele ya Tv nakuomba msamaha na kuwasihi wanawake wenzake.Mkuu ujasiri kwa kuigiza porn video,,au ujasiri kuvumilia gogo kwa nyuma?
Na kichwa cha khabari kingekuwa hicho cha binamu yake ndio ungekuwa uzi mzima khalafu ya amber angechomekea tuItapendeza zaidi ukidokeza zaidi juu ya wewe kufumwa na binamu ukila nyeto.