Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 1,000
- 1,988
Mimi nitakuwa busy na kazi kwa siku zote mbili. So sitaweza Hata kufatilia.
Na shauri : Wazee wa pressure hizi match wasiangalie. Kama una mzee shabiki wa hizi team akae mbali na TV Unaweza Mpoteza.
๐๐๐ Goli ni nyingi sana . Vijana wa kariakoo wamelamba joker ๐.
Wamepotea njia, wameibukia Jeshini ๐๐ mwendo wa doso tu .
kazi wanayo . Weekend hii
Na shauri : Wazee wa pressure hizi match wasiangalie. Kama una mzee shabiki wa hizi team akae mbali na TV Unaweza Mpoteza.
๐๐๐ Goli ni nyingi sana . Vijana wa kariakoo wamelamba joker ๐.
Wamepotea njia, wameibukia Jeshini ๐๐ mwendo wa doso tu .
kazi wanayo . Weekend hii