rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,205
- 20,187
Mkuu hata dar Kuna sehemu nyama inauzwa 20,000 kwa kilo. Ila huwez kuja na kusema Dar nyama inauzwa 20,000Kizimkazi, paje nyama kilo 15k.
TufafanulieNimeona kuna wapemba na warangi wanasupply vitunguu swaumu kwenda Znz
Mchele wa bara unaliwa sana huku kuliko mnavodhani, na hiyo mbeya supa haijawahi kufikia huko, supper kabisa ni 2400Sawa wanakwenda lakini, mchele wa bara kwa zanzibar, mzunguko wake ni mdogo sana kutokana na bei yake kuwa juu, kulinganisha na hayo ma michele ya pakistani/brazili, ambayo wapemba wengi ndio wanatumia , ile super ya mbeya ikifika zanzibar si itakuwa zaidi ya 3000/- ni wangapi wenye uwezo huo??kuna kipindi nilikuja znb, nikashindwa kabisa kula wali, kila sehemu ni ule nadhani walikuwa wanauita pembe kutoka brazil!!
Wewe muongo, kilo ya nyama ya mfupa ni 8000 kwa sasa, safi ni 10000Peleka nyama kule kilo 1 tena mifupa mifupa niliacha 15k
Dah, we jamaa nimuongo mno, cjui inakusaidia kusema uongo kiasi hicho, mchana zaid ya asilimia 90 nyumba zote utakazopita ni wali, nyamaza wazanzibar wenywe tumo humuMkuu siongei kwa kusoma maandishi.
Nimeishi Zanzibar (Unguja). Unguja usiku watu wakula Kachori, sambusa, maandazi, n.k hayo mawali wanakula watu wa bara.
Ukienda maeneo ya Bububu watu mchana wanakula urojo. Unaweza kutembea umbali wa kilomita hata 4 hujaona sehemu wanapika wali.
Sasa Kama huamini peleka huo mchele wako utuletee mrejesho.
Zanzibar usirogwe ukapeleka biashara yoyote ambayo wao wanaingiza kutokea Bara Asia.
mkuu, mimi sina uzoefu na biashara za zenji ila kama uko serious karibu pm nikwambie nini unaweza kufanya haswa kuanzia mwezi wa sita, utakuja kushuhudia hapa.
Maharage bei gani huko mkuu?Mkuu biashara huku unayoweza kuileta ikakutoa, ni nafaka, kama mchele, maharage, sembe na vingn, pia viazi mbatata vinaliwa mno, vitunguu na mboga mboga nyngne
Mshana alitoa maada ya kuwasha taa mwenzio aone nawe fanya hivo hapa hapa pm kwA nini mkuu.
Maharage bei gani huko mkuu?
Mkuu vipi kwema?
znz vipi naplan kurudi huko tena!
yule mmisiri wa Tv yupo ama ile biashara ilimshinda akaondoka?
Yupo maeneo gan ?Yupo kaka, mshenzi yule, hawezi ondoka hapa ana make money hawezi ondoka, karibu tena mkuu
Yupo maeneo gan ?
TV zake ni imara na inaweza lipa ukienda kuuza dar?
aha hizo laptop na blenda ni imara auDah, haleti tv kwa sasa alileta matv flan iv mabovu sana, hua anadeal na vitu vidogo vidogo vya used, ketle, microwave, blenda, laptop na takataka nyengn
Huo mchele super kyela kwa dar tu, huwa unafika 3000!!kuna super na suoer kyela!!sembuse zanzibar?au unaongelea kipindi hiki ambapo mchele ni bei ndogo?Mchele wa bara unaliwa sana huku kuliko mnavodhani, na hiyo mbeya supa haijawahi kufikia huko, supper kabisa ni 2400