He he he..niliiona jana, jamaa walikuwa Karatu. Picha zote ni za sehemu zile za kulikoungua shoka, kwa nini hawakuweka angalau picha moja ya Arusha mjini?.
He he he..niliiona jana, jamaa walikuwa Karatu. Picha zote ni za sehemu zile za kulikoungua shoka, kwa nini hawakuweka angalau picha moja ya Arusha mjini?.
Hahahahah LOL! ni kweli Mkuu, nchi nyingine nyingi wanaonyesha sehemu zinazovutia sana hata mtu unatamani kwenda kutembelea lakini wametusaidia sana katika kutangaza utalii nchi za nje maana kipindi hicho kinaangaliwa na watu wengi katika nchi mbali mbali duniani..
Yap! niliipenda sana hii. Tanzania nchi yangu nzuri. Wizara ya utalii wameiona hii au wataendelea kusuasua. Wanaweza kutumia hii kuendelea kutangaza utalii nchini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.