Ḥalāl (Arabic: حلال‎ ḥalāl, 'permissible') is a term designating any object or an action which is permissible to use or engage in, according to Islamic law. The opposite of this word is haraam.
Kwa hivo nikifungua biasahara nikaiita HARAAM BRICK MAKERS itasomekaje? Kwa msimamo huohuo kuwa ni neno tu la kiarabu?
Uislaam haukubinafsisha hilo neno ! Linatumika, pale kinapofanyika kitu au jambo lenye 'specification' maalum za kufuata itikadi ya dini ili kutofautisha na taratibu zingine zisizo za kidini.
Kifupi ni kuwa: tofali halina standard za kutengeneza Kiislaam !
Je unatoa na huduma ya usafiri? Lets say Mpaka kimara mwisho...
Mkuu ebu nipe gharama za usafiri wa tofali 5,000 mpaka kinyerezi ili ikiwezekana mm nilipe pesa yote kisha nikae saiti kuhesabu tofari zinazoingia.Utaratibu huwa kwa bei hiyo juu,ni bila usafiri,ila ukichukua matofali kuanzia 2,000 tunakufanyia punguzo hadi Tsh 780/= ili ikusaidie katika transport.Usafiri unapatikana huku au unaweza kuja na wako,karibu ofisin tuongee vizuri tutafikia muafaka,KARIBU SANA...
Mkuu ebu nipe gharama za usafiri wa tofali 5,000 mpaka kinyerezi ili ikiwezekana mm nilipe pesa yote kisha nikae saiti kuhesabu tofari zinazoingia.
Na umesema ni cement ya njee,vipi ubora wake?
ndiyo mkuu HALAAL na maji yanayo tumika ni ya bomba ya dawasco si ya kwenye madimbwi!!'HALAAL'.... kila la kheri
Ubora wa tofali hutegemea vigezo vingi ikiwamo AINA YA MCHANGA unaotumia,MAJI yasiyo na CHUMVI,CEMENT BORA,Mashine yenye MTETEMO (Vibration) na MSUKUMO (Pressing power) bora,uzoefu wa MAFUNDI n.k
Kwetu yote hayo TUNAZINGATIA.....Karibuni sana!
Mbona unasema genuine Pakistan Cement kwani kuna FAKE?
Personally kwenye cement huwa natumia made in Tanzania ili kaka na dada zangu wasije kuwa retrenched/redundance na pia serikali ipate KODI stahiki.
Sielewi kwa nini Serikali bado inaruhusu cement ya nje wakati demand ya cement Tanzania ni 3milioni tons na viwanda vinne Twiga 1.4mil Tembo 0.35 Simba 1.2 na Rhino 0.75 wana uwezo wa ziada kufeed demand ya inchi.
Naona mpaka haw 4 players wakianza fanya redundance na kupunguza uzalishaji serikali ndo itaaanza kuwa serious
Na kuna vumi kama upepo kuwa Pakistani cement iko na magnesium nyingi such that husababisha Cracks ukijengea?
Ni hayo tuu
Wako Made in Tanzania
Ndugu mteja,kutokana na hali ya hewa ya Dar es salaam,ukuta wa nyumba huanza kunyonya unyevu taratibu toka chin,ambao kwa kuwa una asili ya chumvi chumvi husababisha MPASUKO kama tofali halikuwa na KIWANGO chenye ubora.....SULUHU ya tatizo hilo JENGA NA HALAAL Company Ltd...KARIBUNI SANA.
umeanza kudanganya
suluhisho la tatizo hilo ni kutumia damp proof course/membrane (hessian/bituminous felt)