Amani na utengamano wa nchi yetu. Ushauri kwa TEC

Amani na utengamano wa nchi yetu. Ushauri kwa TEC

Dr Akili

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2011
Posts
5,313
Reaction score
4,750
Dini zina nafasi kubwa sana kwenye mtengamano na amani ya lo lote lile. Ndiyo maana kwa kuliona hili, baadhi ya nchi serikali zake zinatawaliwa na dini moja, hususanj huko Uingereza nk Anglican High Church..

Nchi yetu ina dini kuu mbili, waislamu na wakiristo. Ingawa katiba ya nchi yetu inasema serikali haina dini lakini ukweli unabaki pale pale kwamba dini hizi mbili zina influence (nguvu) kubwa sana kwenye utengamano na amani ya taifa letu.

Ndiyo maana hata kama haiko kwenye maandishi ya kikatiba, mtiririko wa utamaduni wetu ukuu wa nchi umekuwa wa kupokezana kati ya hizi dini kuu mbili. Alianza mkiristo (Nyerere), akafuata muislam (Mwinyi), akaja mkiristo (Mkapa), akafuata muislam (Jakaya), halafu akaja mkiristo (Magufuli) na sasa tuna muislamu (Samia). Na bila shaka awamu ya saba atakuwa mkiristo.

Mtiririko huo haukuja kwa bahati mbaya (coincidence). Ni utamaduni wetu wa kuheshimu nguvu ya dini zetu hizi kwenye ukuu wa nchi na ndiyo uliochangia kwa kiasi kikubwa kwa amani tunayojivunia ya taifa letu. Na mara zote isipokuwa awamu hii dini hizi zimekuwa na utiifu mkubwa kwa mkuu wa nchi na serikali yake. Dini hizi zimekuwa zikituaminisha kuwa mkuu wa nchi ni chaguo la Mwenyezi Mungu na kwa wakristo 'ya Kaisari mpe Kaisari, ya Mungu mpe Mungu'.

Inasikitisha kuona kwamba katika awamu hii ya muislamu, TEC ambayo mtendaji wake mkuu ni ndugu au swaiba mkuu wa kiongozi wa chama kimoja cha siasa anayeutafuta ukuu wa nchi kwa njia ya yote ile ikiwemo ya vurugu, limekuwa likimsakama na kumdharirisha sana mkuu wa nchi na serikali yake. Hotuba wa raisi wa TEC ya Pasaka inaonesha wazi matakwa ya kanisa hili la kuingilia kesi iliyoko mahakamani ya mtuhumiwa wa uvunjifu wa amanj ya nchi yetu ambayo TEC wanaita ni kesi ya watuhumiwa wa kudai haki.

Hotuba/ waraka wa Pasaka ni tofauti sana ule wa Eid El Fitri wa waislam uliojitikita kwenye kudumisha amani. TEC mnakotaka kutupeleka si pa zuri. Huyo katibu mkuu wenu, Dr Kitima, hana tofauti na aliyekuwa kabibu mkuu wenu, Dr Slaa, Mtimueni kama mlivyofanya kwa Slaa akaungane naye kwenye siasa na kuoa.
 
Kwanza ,Nyerere hakudai uhuru kanisa katolic nchini ndio lilithibitisha kwamba Tanganyika inaweza kujitawala baadae ndo Nyerere akatengenezewa njia kanisa halikudai uhuru WA Tanganyika ili yawe hayatunayoyaona

Dr slaa hajawahi fukuzwa labda hujui chochote
 
Dini zina nafasi kubwa sana kwenye mtengamano na amani ya lo lote lile. Ndiyo maana kwa kuliona hili, baadhi ya nchi serikali zake zinatawaliwa na dini moja, hususanj huko Uingereza nk Anglican High Church..

Nchi yetu ina dini kuu mbili, waislamu na wakiristo. Ingawa katiba ya nchi yetu inasema serikali haina dini lakini ukweli unabaki pale pale kwamba dini hizi mbili zina influence (nguvu) kubwa sana kwenye utengamano na amani ya taifa letu.

Ndiyo maana hata kama haiko kwenye maandishi ya kikatiba, mtiririko wa utamaduni wetu ukuu wa nchi umekuwa wa kupokezana kati ya hizi dini kuu mbili. Alianza mkiristo (Nyerere), akafuata muislam (Mwinyi), akaja mkiristo (Mkapa), akafuata muislam (Jakaya), halafu akaja mkiristo (Magufuli) na sasa tuna muislamu (Samia). Na bila shaka awamu ya saba atakuwa mkiristo.

Mtiririko huo haukuja kwa bahati mbaya (coincidence). Ni utamaduni wetu wa kuheshimu nguvu ya dini zetu hizi kwenye ukuu wa nchi na ndiyo uliochangia kwa kiasi kikubwa kwa amani tunayojivunia ya taifa letu. Na mara zote isipokuwa awamu hii dini hizi zimekuwa na utiifu mkubwa kwa mkuu wa nchi na serikali yake. Dini hizi zimekuwa zikituaminisha kuwa mkuu wa nchi ni chaguo la Mwenyezi Mungu na kwa wakristo 'ya Kaisari mpe Kaisari, ya Mungu mpe Mungu'.

Inasikitisha kuona kwamba katika awamu hii ya muislamu, TEC ambayo mtendaji wake mkuu ni ndugu au swaiba mkuu wa kiongozi wa chama kimoja cha siasa anayeutafuta ukuu wa nchi kwa njia ya yote ile ikiwemo ya vurugu, limekuwa likimsakama na kumdharirisha sana mkuu wa nchi na serikali yake. Hotuba wa raisi wa TEC ya Pasaka inaonesha wazi matakwa ya kanisa hili la kuingilia kesi iliyoko mahakamani ya mtuhumiwa wa uvunjifu wa amanj ya nchi yetu ambayo TEC wanaita ni kesi ya watuhumiwa wa kudai haki.

Hotuba/ waraka wa Pasaka ni tofauti sana ule wa Eid El Fitri wa waislam uliojitikita kwenye kudumisha amani. TEC mnakotaka kutupeleka si pa zuri. Huyo katibu mkuu wenu, Dr Kitima, hana tofauti na aliyekuwa kabibu mkuu wenu, Dr Slaa, Mtimueni kama mlivyofanya kwa Slaa akaungane naye kwenye siasa na kuoa.

..Raisi angesimamia Reforms, ambayo ni nguzo mojawapo ya falsafa yake ya 4R tusingefika hapa tulipo.

..Pia maamuzi ya Raisi ya kuharibu uchaguzi wa serikali za mitaa akiwa amemtanguliza waziri ambaye ni mkwe wake ni uthibitisho kwamba ni mbinafsi na asiyejali amani ya nchi yetu.

..Kwa sasa hivi hakuna namna ya kukwepa MABADILIKO KABLA YA UCHAGUZI ili kutunza amani yetu.
 
Dini zina nafasi kubwa sana kwenye mtengamano na amani ya lo lote lile. Ndiyo maana kwa kuliona hili, baadhi ya nchi serikali zake zinatawaliwa na dini moja, hususanj huko Uingereza nk Anglican High Church..

Nchi yetu ina dini kuu mbili, waislamu na wakiristo. Ingawa katiba ya nchi yetu inasema serikali haina dini lakini ukweli unabaki pale pale kwamba dini hizi mbili zina influence (nguvu) kubwa sana kwenye utengamano na amani ya taifa letu.

Ndiyo maana hata kama haiko kwenye maandishi ya kikatiba, mtiririko wa utamaduni wetu ukuu wa nchi umekuwa wa kupokezana kati ya hizi dini kuu mbili. Alianza mkiristo (Nyerere), akafuata muislam (Mwinyi), akaja mkiristo (Mkapa), akafuata muislam (Jakaya), halafu akaja mkiristo (Magufuli) na sasa tuna muislamu (Samia). Na bila shaka awamu ya saba atakuwa mkiristo.

Mtiririko huo haukuja kwa bahati mbaya (coincidence). Ni utamaduni wetu wa kuheshimu nguvu ya dini zetu hizi kwenye ukuu wa nchi na ndiyo uliochangia kwa kiasi kikubwa kwa amani tunayojivunia ya taifa letu. Na mara zote isipokuwa awamu hii dini hizi zimekuwa na utiifu mkubwa kwa mkuu wa nchi na serikali yake. Dini hizi zimekuwa zikituaminisha kuwa mkuu wa nchi ni chaguo la Mwenyezi Mungu na kwa wakristo 'ya Kaisari mpe Kaisari, ya Mungu mpe Mungu'.

Inasikitisha kuona kwamba katika awamu hii ya muislamu, TEC ambayo mtendaji wake mkuu ni ndugu au swaiba mkuu wa kiongozi wa chama kimoja cha siasa anayeutafuta ukuu wa nchi kwa njia ya yote ile ikiwemo ya vurugu, limekuwa likimsakama na kumdharirisha sana mkuu wa nchi na serikali yake. Hotuba wa raisi wa TEC ya Pasaka inaonesha wazi matakwa ya kanisa hili la kuingilia kesi iliyoko mahakamani ya mtuhumiwa wa uvunjifu wa amanj ya nchi yetu ambayo TEC wanaita ni kesi ya watuhumiwa wa kudai haki.

Hotuba/ waraka wa Pasaka ni tofauti sana ule wa Eid El Fitri wa waislam uliojitikita kwenye kudumisha amani. TEC mnakotaka kutupeleka si pa zuri. Huyo katibu mkuu wenu, Dr Kitima, hana tofauti na aliyekuwa kabibu mkuu wenu, Dr Slaa, Mtimueni kama mlivyofanya kwa Slaa akaungane naye kwenye siasa na kuoa.
viongozi wa TEC wachunguzwe kimwili na kiroho,

huenda ni laana za uvurugaji wa ndoa za kondoo zao zimeanza kuwafanya kushindwa kuhubiri neno la Mungu tena na sasa wamegeukia siasa huku bado wakiwa wameg'ang'ana na kujificha madhabahuni kujificha na maovu yao, na ikiwezekana wabadili makanisa yao kua vyama vya siasa 🐒
 
Dini zina nafasi kubwa sana kwenye mtengamano na amani ya lo lote lile. Ndiyo maana kwa kuliona hili, baadhi ya nchi serikali zake zinatawaliwa na dini moja, hususanj huko Uingereza nk Anglican High Church..

Nchi yetu ina dini kuu mbili, waislamu na wakiristo. Ingawa katiba ya nchi yetu inasema serikali haina dini lakini ukweli unabaki pale pale kwamba dini hizi mbili zina influence (nguvu) kubwa sana kwenye utengamano na amani ya taifa letu.

Ndiyo maana hata kama haiko kwenye maandishi ya kikatiba, mtiririko wa utamaduni wetu ukuu wa nchi umekuwa wa kupokezana kati ya hizi dini kuu mbili. Alianza mkiristo (Nyerere), akafuata muislam (Mwinyi), akaja mkiristo (Mkapa), akafuata muislam (Jakaya), halafu akaja mkiristo (Magufuli) na sasa tuna muislamu (Samia). Na bila shaka awamu ya saba atakuwa mkiristo.

Mtiririko huo haukuja kwa bahati mbaya (coincidence). Ni utamaduni wetu wa kuheshimu nguvu ya dini zetu hizi kwenye ukuu wa nchi na ndiyo uliochangia kwa kiasi kikubwa kwa amani tunayojivunia ya taifa letu. Na mara zote isipokuwa awamu hii dini hizi zimekuwa na utiifu mkubwa kwa mkuu wa nchi na serikali yake. Dini hizi zimekuwa zikituaminisha kuwa mkuu wa nchi ni chaguo la Mwenyezi Mungu na kwa wakristo 'ya Kaisari mpe Kaisari, ya Mungu mpe Mungu'.

Inasikitisha kuona kwamba katika awamu hii ya muislamu, TEC ambayo mtendaji wake mkuu ni ndugu au swaiba mkuu wa kiongozi wa chama kimoja cha siasa anayeutafuta ukuu wa nchi kwa njia ya yote ile ikiwemo ya vurugu, limekuwa likimsakama na kumdharirisha sana mkuu wa nchi na serikali yake. Hotuba wa raisi wa TEC ya Pasaka inaonesha wazi matakwa ya kanisa hili la kuingilia kesi iliyoko mahakamani ya mtuhumiwa wa uvunjifu wa amanj ya nchi yetu ambayo TEC wanaita ni kesi ya watuhumiwa wa kudai haki.

Hotuba/ waraka wa Pasaka ni tofauti sana ule wa Eid El Fitri wa waislam uliojitikita kwenye kudumisha amani. TEC mnakotaka kutupeleka si pa zuri. Huyo katibu mkuu wenu, Dr Kitima, hana tofauti na aliyekuwa kabibu mkuu wenu, Dr Slaa, Mtimueni kama mlivyofanya kwa Slaa akaungane naye kwenye siasa na kuoa.
Hakuna utamaduni huo. CCM ni ya waislam wa pwani ndio maana.
 
Dini zina nafasi kubwa sana kwenye mtengamano na amani ya lo lote lile. Ndiyo maana kwa kuliona hili, baadhi ya nchi serikali zake zinatawaliwa na dini moja, hususanj huko Uingereza nk Anglican High Church..

Nchi yetu ina dini kuu mbili, waislamu na wakiristo. Ingawa katiba ya nchi yetu inasema serikali haina dini lakini ukweli unabaki pale pale kwamba dini hizi mbili zina influence (nguvu) kubwa sana kwenye utengamano na amani ya taifa letu.

Ndiyo maana hata kama haiko kwenye maandishi ya kikatiba, mtiririko wa utamaduni wetu ukuu wa nchi umekuwa wa kupokezana kati ya hizi dini kuu mbili. Alianza mkiristo (Nyerere), akafuata muislam (Mwinyi), akaja mkiristo (Mkapa), akafuata muislam (Jakaya), halafu akaja mkiristo (Magufuli) na sasa tuna muislamu (Samia). Na bila shaka awamu ya saba atakuwa mkiristo.

Mtiririko huo haukuja kwa bahati mbaya (coincidence). Ni utamaduni wetu wa kuheshimu nguvu ya dini zetu hizi kwenye ukuu wa nchi na ndiyo uliochangia kwa kiasi kikubwa kwa amani tunayojivunia ya taifa letu. Na mara zote isipokuwa awamu hii dini hizi zimekuwa na utiifu mkubwa kwa mkuu wa nchi na serikali yake. Dini hizi zimekuwa zikituaminisha kuwa mkuu wa nchi ni chaguo la Mwenyezi Mungu na kwa wakristo 'ya Kaisari mpe Kaisari, ya Mungu mpe Mungu'.

Inasikitisha kuona kwamba katika awamu hii ya muislamu, TEC ambayo mtendaji wake mkuu ni ndugu au swaiba mkuu wa kiongozi wa chama kimoja cha siasa anayeutafuta ukuu wa nchi kwa njia ya yote ile ikiwemo ya vurugu, limekuwa likimsakama na kumdharirisha sana mkuu wa nchi na serikali yake. Hotuba wa raisi wa TEC ya Pasaka inaonesha wazi matakwa ya kanisa hili la kuingilia kesi iliyoko mahakamani ya mtuhumiwa wa uvunjifu wa amanj ya nchi yetu ambayo TEC wanaita ni kesi ya watuhumiwa wa kudai haki.

Hotuba/ waraka wa Pasaka ni tofauti sana ule wa Eid El Fitri wa waislam uliojitikita kwenye kudumisha amani. TEC mnakotaka kutupeleka si pa zuri. Huyo katibu mkuu wenu, Dr Kitima, hana tofauti na aliyekuwa kabibu mkuu wenu, Dr Slaa, Mtimueni kama mlivyofanya kwa Slaa akaungane naye kwenye siasa na kuoa.
Watanzania wanalia na Serikali ya CCM kwasababu ya udhalimu wake, sio kwasababu kiongozi wake mkuu ni muislamu. Serikali imeumiza viongozi wengi (na wanachama wa kawaida) wa vyama vya upinzani in a variety of ways (all with impunity)!

Kwa akili yako ya kawaida (achilia mbali ya udaktari, kama ipo), Lissu (kwa mfano) amefanya uhaini gani? Kudai political reforms zitakazowezesha chaguzi zetu kuwa huru na za haki sio uhaini. Needless to say, “No Reforms, No Elections” ni official position ya CHADEMA. Kumkamata Lissu hakujabadilisha chochote. Viongozi wengine wa CHADEMA (na wafuasi wa kawaida wa CHADEMA) wanaendeleza madai yale yale yaliyompatia Lissu kesi ya uhaini.

Huu sio wakati wa kucheza the Religion (R) card. Kama wewe ni muislamu, kumbuka, muislamu wa kweli ni mcha Mungu na hawezi kutetea udhalimu wa Serikali hata kama Serikali hiyo inaongozwa na muislamu!
 
Hali hii imepelekea mnyukano wa kesi ya uhaini anayotuhumiwa nayo Tundu Lissu badala ya kuwa kati ya mawakili wa upande mashitaka (Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) vs wa upande wa mshitqkiwa (Tundu Lissu) kufanyika mahakamani mbele ya jaji, sasa unafanyika makanisani na misikitini kati ya viongozi wakuu wa wakristo haswa wale wa TEC (wakimutetea mtuhumiwa) vs viongozi wakuu wa waislamu wakiwa upande wa mshitaki (Jamhuri ya Muungano wa Tanzania). Hii ni hatari sana.
Msikilize hapa huyu sheikh maarufu:


View: https://youtu.be/ZU3LGBjghAw?si=2Y4R-ZJPvTtyRe0z

Halafu msikilize rais wa JMT (kuanzia dakika ya 8) alivyowaasa na kuwaagiza viongozi wakuu wa dini zote kuhusiana na suala hili la wachache waliokosa utiifu (allegiance) kwa nchi yao na wamekusudia kuvuruga amani ya nchi yetu;


View: https://youtu.be/ELbVzfVhT14?si=y8P8rkuIniXjirM9

Kasema tukichelea chelea mwana kulia tutalia wenyewe hivi punde
 
Dini zina nafasi kubwa sana kwenye mtengamano na amani ya lo lote lile. Ndiyo maana kwa kuliona hili, baadhi ya nchi serikali zake zinatawaliwa na dini moja, hususanj huko Uingereza nk Anglican High Church..

Nchi yetu ina dini kuu mbili, waislamu na wakiristo. Ingawa katiba ya nchi yetu inasema serikali haina dini lakini ukweli unabaki pale pale kwamba dini hizi mbili zina influence (nguvu) kubwa sana kwenye utengamano na amani ya taifa letu.

Ndiyo maana hata kama haiko kwenye maandishi ya kikatiba, mtiririko wa utamaduni wetu ukuu wa nchi umekuwa wa kupokezana kati ya hizi dini kuu mbili. Alianza mkiristo (Nyerere), akafuata muislam (Mwinyi), akaja mkiristo (Mkapa), akafuata muislam (Jakaya), halafu akaja mkiristo (Magufuli) na sasa tuna muislamu (Samia). Na bila shaka awamu ya saba atakuwa mkiristo.

Mtiririko huo haukuja kwa bahati mbaya (coincidence). Ni utamaduni wetu wa kuheshimu nguvu ya dini zetu hizi kwenye ukuu wa nchi na ndiyo uliochangia kwa kiasi kikubwa kwa amani tunayojivunia ya taifa letu. Na mara zote isipokuwa awamu hii dini hizi zimekuwa na utiifu mkubwa kwa mkuu wa nchi na serikali yake. Dini hizi zimekuwa zikituaminisha kuwa mkuu wa nchi ni chaguo la Mwenyezi Mungu na kwa wakristo 'ya Kaisari mpe Kaisari, ya Mungu mpe Mungu'.

Inasikitisha kuona kwamba katika awamu hii ya muislamu, TEC ambayo mtendaji wake mkuu ni ndugu au swaiba mkuu wa kiongozi wa chama kimoja cha siasa anayeutafuta ukuu wa nchi kwa njia ya yote ile ikiwemo ya vurugu, limekuwa likimsakama na kumdharirisha sana mkuu wa nchi na serikali yake. Hotuba wa raisi wa TEC ya Pasaka inaonesha wazi matakwa ya kanisa hili la kuingilia kesi iliyoko mahakamani ya mtuhumiwa wa uvunjifu wa amanj ya nchi yetu ambayo TEC wanaita ni kesi ya watuhumiwa wa kudai haki.

Hotuba/ waraka wa Pasaka ni tofauti sana ule wa Eid El Fitri wa waislam uliojitikita kwenye kudumisha amani. TEC mnakotaka kutupeleka si pa zuri. Huyo katibu mkuu wenu, Dr Kitima, hana tofauti na aliyekuwa kabibu mkuu wenu, Dr Slaa, Mtimueni kama mlivyofanya kwa Slaa akaungane naye kwenye siasa na kuoa.

Kwani TEC wanatakiwa wawaige Bakwata? Mbona wana siasa kila wanaposhauriwa ukweli wanasingizia ni udini?

Kama wanachofanya kina makosa dawa ni kujirekebisha. Sio kuleta hoja ambazo sio hoja
 
Kwanza ,Nyerere hakudai uhuru kanisa katolic nchini ndio lilithibitisha kwamba Tanganyika inaweza kujitawala baadae ndo Nyerere akatengenezewa njia kanisa halikudai uhuru WA Tanganyika ili yawe hayatunayoyaona

Dr slaa hajawahi fukuzwa labda hujui chochote
Ficha upumbavu wako, hilo kanisa lako halikuhusika na mambo ya uhuru, tena kanisa ndiyo haikutaka nchi kupata uhuru kipindi hicho mapdre na maaskofu wengi walikuwa wazungu. Wakati wa kutafuta uhuru Nyerere ht hakuwa na nguvu usomi na uwezo wake kiuongozi ndio ulimbeba. Wazee wengi waliohusika kudai uhuru walikuwa waislam, leo unakuja kupotosha eti kanisa katoliki? Acha uwongo bwanamdogo.
 
Watanzania wanalia na Serikali ya CCM kwasababu ya udhalimu wake, sio kwasababu kiongozi wake mkuu ni muislamu. Serikali imeumiza viongozi wengi (na wanachama wa kawaida) wa vyama vya upinzani in a variety of ways (all with impunity)!

Kwa akili yako ya kawaida (achilia mbali ya udaktari, kama ipo), Lissu (kwa mfano) amefanya uhaini gani? Kudai political reforms zitakazowezesha chaguzi zetu kuwa huru na za haki sio uhaini. Needless to say, “No Reforms, No Elections” ni official position ya CHADEMA. Kumkamata Lissu hakujabadilisha chochote. Viongozi wengine wa CHADEMA (na wafuasi wa kawaida wa CHADEMA) wanaendeleza madai yale yale yaliyompatia Lissu kesi ya uhaini.

Huu sio wakati wa kucheza the Religion (R) card. Kama wewe ni muislamu, kumbuka, muislamu wa kweli ni mcha Mungu na hawezi kutetea udhalimu wa Serikali hata kama Serikali hiyo inaongozwa na muislamu!
Atakayeamua km Lissu kafanya uhaini au la ni mahakama tuliza makalio. Serikali ina uwezo na wajibu wa kumweka yeyote mpk kizuizini ikimwona anahatarisha amani, shukuruni huyo amepelekwa mahakamani. Mnatumia vibaya uhuru mliopewa na serikali mmesahau mlikotoka.
 
Hotuba/ waraka wa Pasaka ni tofauti sana ule wa Eid El Fitri wa waislam uliojitikita kwenye kudumisha amani. TEC mnakotaka kutupeleka si pa zuri.
TEC haiangalii nani amesema nini. Huwa inatoa nyaraka kulingana na hali halisi ya wakati wanaoona inafaa. TEC ilitoa wito kupitia waraka wake kuwataka watu wachukue tahafhari ya ugonjwa wa Covid19 ambao ulikuwa unapingana na msimamo wa serikali ya awamu ya tano ya JPM ambaye ni muumini wao. TEC hawakurudi nyuma licha ya JPM kuchukizwa na jambo lile (na aliwahi kuonyesha hivyo alipopewa nafasi ya kutoa salamu kanisani pale Parokia ya St. Peter's, Oysterbay).
 
Dini zina nafasi kubwa sana kwenye mtengamano na amani ya lo lote lile. Ndiyo maana kwa kuliona hili, baadhi ya nchi serikali zake zinatawaliwa na dini moja, hususanj huko Uingereza nk Anglican High Church..

Nchi yetu ina dini kuu mbili, waislamu na wakiristo. Ingawa katiba ya nchi yetu inasema serikali haina dini lakini ukweli unabaki pale pale kwamba dini hizi mbili zina influence (nguvu) kubwa sana kwenye utengamano na amani ya taifa letu.

Ndiyo maana hata kama haiko kwenye maandishi ya kikatiba, mtiririko wa utamaduni wetu ukuu wa nchi umekuwa wa kupokezana kati ya hizi dini kuu mbili. Alianza mkiristo (Nyerere), akafuata muislam (Mwinyi), akaja mkiristo (Mkapa), akafuata muislam (Jakaya), halafu akaja mkiristo (Magufuli) na sasa tuna muislamu (Samia). Na bila shaka awamu ya saba atakuwa mkiristo.

Mtiririko huo haukuja kwa bahati mbaya (coincidence). Ni utamaduni wetu wa kuheshimu nguvu ya dini zetu hizi kwenye ukuu wa nchi na ndiyo uliochangia kwa kiasi kikubwa kwa amani tunayojivunia ya taifa letu. Na mara zote isipokuwa awamu hii dini hizi zimekuwa na utiifu mkubwa kwa mkuu wa nchi na serikali yake. Dini hizi zimekuwa zikituaminisha kuwa mkuu wa nchi ni chaguo la Mwenyezi Mungu na kwa wakristo 'ya Kaisari mpe Kaisari, ya Mungu mpe Mungu'.

Inasikitisha kuona kwamba katika awamu hii ya muislamu, TEC ambayo mtendaji wake mkuu ni ndugu au swaiba mkuu wa kiongozi wa chama kimoja cha siasa anayeutafuta ukuu wa nchi kwa njia ya yote ile ikiwemo ya vurugu, limekuwa likimsakama na kumdharirisha sana mkuu wa nchi na serikali yake. Hotuba wa raisi wa TEC ya Pasaka inaonesha wazi matakwa ya kanisa hili la kuingilia kesi iliyoko mahakamani ya mtuhumiwa wa uvunjifu wa amanj ya nchi yetu ambayo TEC wanaita ni kesi ya watuhumiwa wa kudai haki.

Hotuba/ waraka wa Pasaka ni tofauti sana ule wa Eid El Fitri wa waislam uliojitikita kwenye kudumisha amani. TEC mnakotaka kutupeleka si pa zuri. Huyo katibu mkuu wenu, Dr Kitima, hana tofauti na aliyekuwa kabibu mkuu wenu, Dr Slaa, Mtimueni kama mlivyofanya kwa Slaa akaungane naye kwenye siasa na kuoa.
Wewe ni mpumbavu kama mlivyojaa waoumbavuu huko CCM. TEC mbona walimsema Magufuli? Aliyekuwa Mkristo na Mkatoliki mwenzao? Walivyomsema Maguculu ulikuwa wapi kuongea haya punguani wewe? Au ukikuwa hujazaliwa?

Hizo propaganda zenu mfu na hao wajinga wenzenu ziishie huko huko!
Screenshot_20250420_095054_Chrome.jpg
 
Dini zina nafasi kubwa sana kwenye mtengamano na amani ya lo lote lile. Ndiyo maana kwa kuliona hili, baadhi ya nchi serikali zake zinatawaliwa na dini moja, hususanj huko Uingereza nk Anglican High Church..

Nchi yetu ina dini kuu mbili, waislamu na wakiristo. Ingawa katiba ya nchi yetu inasema serikali haina dini lakini ukweli unabaki pale pale kwamba dini hizi mbili zina influence (nguvu) kubwa sana kwenye utengamano na amani ya taifa letu.

Ndiyo maana hata kama haiko kwenye maandishi ya kikatiba, mtiririko wa utamaduni wetu ukuu wa nchi umekuwa wa kupokezana kati ya hizi dini kuu mbili. Alianza mkiristo (Nyerere), akafuata muislam (Mwinyi), akaja mkiristo (Mkapa), akafuata muislam (Jakaya), halafu akaja mkiristo (Magufuli) na sasa tuna muislamu (Samia). Na bila shaka awamu ya saba atakuwa mkiristo.

Mtiririko huo haukuja kwa bahati mbaya (coincidence). Ni utamaduni wetu wa kuheshimu nguvu ya dini zetu hizi kwenye ukuu wa nchi na ndiyo uliochangia kwa kiasi kikubwa kwa amani tunayojivunia ya taifa letu. Na mara zote isipokuwa awamu hii dini hizi zimekuwa na utiifu mkubwa kwa mkuu wa nchi na serikali yake. Dini hizi zimekuwa zikituaminisha kuwa mkuu wa nchi ni chaguo la Mwenyezi Mungu na kwa wakristo 'ya Kaisari mpe Kaisari, ya Mungu mpe Mungu'.

Inasikitisha kuona kwamba katika awamu hii ya muislamu, TEC ambayo mtendaji wake mkuu ni ndugu au swaiba mkuu wa kiongozi wa chama kimoja cha siasa anayeutafuta ukuu wa nchi kwa njia ya yote ile ikiwemo ya vurugu, limekuwa likimsakama na kumdharirisha sana mkuu wa nchi na serikali yake. Hotuba wa raisi wa TEC ya Pasaka inaonesha wazi matakwa ya kanisa hili la kuingilia kesi iliyoko mahakamani ya mtuhumiwa wa uvunjifu wa amanj ya nchi yetu ambayo TEC wanaita ni kesi ya watuhumiwa wa kudai haki.

Hotuba/ waraka wa Pasaka ni tofauti sana ule wa Eid El Fitri wa waislam uliojitikita kwenye kudumisha amani. TEC mnakotaka kutupeleka si pa zuri. Huyo katibu mkuu wenu, Dr Kitima, hana tofauti na aliyekuwa kabibu mkuu wenu, Dr Slaa, Mtimueni kama mlivyofanya kwa Slaa akaungane naye kwenye siasa na kuoa.
Huna akili kama walivyo na-ustaadhi wengi. Jifunzeni kwa wanaofanya vizuri kwenye uchumi, elimu, afya na siasa. Uislamu umekuwa brand ya vurugu na ugaidi duniani: mnazijua hizo Al Shaabab, Al…, Al Qaeda, Al … Huwa waislamu mnashtuka sana mkiona askofu ameongea na mnaanza kusema sijui amani yetu itakuwa vipi. lakini mara zote hekima za maaskofu zimewazidi akili na kuwaokoa.
 
Dini zina nafasi kubwa sana kwenye mtengamano na amani ya lo lote lile. Ndiyo maana kwa kuliona hili, baadhi ya nchi serikali zake zinatawaliwa na dini moja, hususanj huko Uingereza nk Anglican High Church..

Nchi yetu ina dini kuu mbili, waislamu na wakiristo. Ingawa katiba ya nchi yetu inasema serikali haina dini lakini ukweli unabaki pale pale kwamba dini hizi mbili zina influence (nguvu) kubwa sana kwenye utengamano na amani ya taifa letu.

Ndiyo maana hata kama haiko kwenye maandishi ya kikatiba, mtiririko wa utamaduni wetu ukuu wa nchi umekuwa wa kupokezana kati ya hizi dini kuu mbili. Alianza mkiristo (Nyerere), akafuata muislam (Mwinyi), akaja mkiristo (Mkapa), akafuata muislam (Jakaya), halafu akaja mkiristo (Magufuli) na sasa tuna muislamu (Samia). Na bila shaka awamu ya saba atakuwa mkiristo.

Mtiririko huo haukuja kwa bahati mbaya (coincidence). Ni utamaduni wetu wa kuheshimu nguvu ya dini zetu hizi kwenye ukuu wa nchi na ndiyo uliochangia kwa kiasi kikubwa kwa amani tunayojivunia ya taifa letu. Na mara zote isipokuwa awamu hii dini hizi zimekuwa na utiifu mkubwa kwa mkuu wa nchi na serikali yake. Dini hizi zimekuwa zikituaminisha kuwa mkuu wa nchi ni chaguo la Mwenyezi Mungu na kwa wakristo 'ya Kaisari mpe Kaisari, ya Mungu mpe Mungu'.

Inasikitisha kuona kwamba katika awamu hii ya muislamu, TEC ambayo mtendaji wake mkuu ni ndugu au swaiba mkuu wa kiongozi wa chama kimoja cha siasa anayeutafuta ukuu wa nchi kwa njia ya yote ile ikiwemo ya vurugu, limekuwa likimsakama na kumdharirisha sana mkuu wa nchi na serikali yake. Hotuba wa raisi wa TEC ya Pasaka inaonesha wazi matakwa ya kanisa hili la kuingilia kesi iliyoko mahakamani ya mtuhumiwa wa uvunjifu wa amanj ya nchi yetu ambayo TEC wanaita ni kesi ya watuhumiwa wa kudai haki.

Hotuba/ waraka wa Pasaka ni tofauti sana ule wa Eid El Fitri wa waislam uliojitikita kwenye kudumisha amani. TEC mnakotaka kutupeleka si pa zuri. Huyo katibu mkuu wenu, Dr Kitima, hana tofauti na aliyekuwa kabibu mkuu wenu, Dr Slaa, Mtimueni kama mlivyofanya kwa Slaa akaungane naye kwenye siasa na kuoa.
Wewe mjinga tu,kwa hiyo kama Rais Muisilamu mwenzako ana haki ya kuiba kura?
 
Back
Top Bottom