Ladyheart
Member
- Jan 30, 2009
- 58
- 7
Leo nimeudhuria msiba wa mwanafunzi mwenzangu,ambaye amefiwa na mama yake mdogo,...katika msiba huo mengi yalijitokeza lakini moja kubwa ni hili la kimada wa mume wa huyo marehemu,....kimada huyo alitoa siku 3 za mke kuishi au kufa na kumuachia mume atanue nae.....na hatimae mke leo amefariki.....je nani wa kulaumiwa hapo wana Jf..mume aliyetafuta nyumba ndogo au mwanamke aliyetoa maneno ya kutishia maisha...