LuCKNOVICH
Senior Member
- Jan 22, 2011
- 104
- 11
Jaribu kufikiria,mke/mme umekaa nae kama 10 yrs,siku moja mnagombana/kukorofishana tu hapo ndo mambo yote na siri zote zitatoka.mara mchawi,pesa zako za mapaka etc.
Mwingine anaishi mjini kwa mchango wako either unampa/umemtafutia kibarua mahala,ukiyumda kidogo kiuchumi ndo wa kwanza kukutangaza.
Je,binadamu ni wa aina gani?Ipi bora uwe na roho nzuri au mbaya?
Mimi nimeamua kuwa bedui kama sio Nduli kabisa,sijui wenzangu.
Naweka jamvini
Mwingine anaishi mjini kwa mchango wako either unampa/umemtafutia kibarua mahala,ukiyumda kidogo kiuchumi ndo wa kwanza kukutangaza.
Je,binadamu ni wa aina gani?Ipi bora uwe na roho nzuri au mbaya?
Mimi nimeamua kuwa bedui kama sio Nduli kabisa,sijui wenzangu.
Naweka jamvini