Ama kweli Mungu anajua kuumba jamani!

Ama kweli Mungu anajua kuumba jamani!

Heri ya mwaka mpya wadau!

Mi najiuliza sana hivi katika uumbaji Mungu anazingatia vigezo gani? Au kuna watu wanapeleka special order ili waumbwe vizuri kuliko wenzao?

Hebu cheki huyu mtoto jamani ana kasoro gani huyu? Cheki mguu huo, upaja, kiuno hicho daah na hiyo kifua ndo nakufa kabisaa.

Namna hii kweli hata ungekua wewe usingeweza kutorosha makontena bandarini ili upate kumtunza mtoto kama huyu? Ndo mana watu wanahonga mpaka ndege ili wale vitu vizuri vizuri kama hivi looh.

Ukioa huyu mtoto una mtaftia mwanamke mwingine awe spesho kwa kuzaa tu hyu una mtunza asizae mapema unakula nae maisha dubai,paris,rio de jeneiro,kingstone, New york teh teh teh teh, kweli Mungu fundi ujue......!

View attachment 314099
Huyu mbona ndo Lara I huyo,
 
Mungu hakupi vyote. Kanaweza kuwa kazuri hivyo lakini ukute kana kasoro kubwa tu, yaweza kuwa mpapa hauna ladha, wa baridi...au ukute kana odour moja kali huko mahalia...huwezi pewa kila kitu...
 
siyo wote wengine wako kama gaa people. anaweza kuhamisha nyumba na wewe ukiwemo. jirani yangu ni gaa people wa kufa mtu. hata akikusonda kidole unaanguka chini na ukiweza kuamka unakuwa umesahau jina lako


Umenikumbusha mkoa wa Tabora na Kigoma kwa ushirikina wa nje nje ila kwa MT si kweli, ndiyo kuna wachawi ila si kama hiyo mikoa niliyotaja hapo juu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom