Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 10,590
- 7,951
halafu hwatumii karoraiti ni natural wanaiva kwa joto,ngozi nyoroooroooo!!
Ni kweli kabisa.
halafu hwatumii karoraiti ni natural wanaiva kwa joto,ngozi nyoroooroooo!!
Katumiwa kwenye whatsapp na mkeoUmepata wapi picha ya mke wangu,ntakutafta😡
Heri ya mwaka wadau!
Mi najiuliza sana hivi katika uumbaji Mungu anazingatia vigezo gani? au kuna watu wanapeleka special order ili waumbwe vizuri kuliko wenzao?
Hebu cheki huyu mtoto jamani ana kasoro gani huyu? cheki mguu huo,upaja,kiuno hicho daah na hiyo kifua ndo nakufa kabisaa. namna hii kweli hata ungekua wewe usingeweza kutorosha makontena bandarini ili upate kumtunza mtoto kama huyu?
Ndo mana watu wanahonga mpaka ndege ili wale vitu vizuri vizuri kama hivi looh.
ukioa huyu mtoto una mtaftia mwanamke mwingine awe spesho kwa kuzaa tu hyu una mtunza asizae mapema unakula nae maisha dubai,paris,rio de jeneiro,kingstone,New york teh teh teh teh,kweli Mungu fundi ujue......!!View attachment 314099