AMA KWELI DUNIANI WAWILI WAWILI

Bwana Muki

Member
Joined
Dec 13, 2018
Posts
13
Reaction score
9
Waswahili hawakukosea pale waliposema "Duniani wawili wawili", yaani binadamu tunafanana.

Lakini ulishawahi kujiuliza kama unaweza kufanana na viumbe hai wengine tofauti na binadamu?? Mtizame huyo samaki kisha nambie anafanana na nani.
 

Wewe huna adabu na ni Mtovu wa nidhamu
 
[emoji23][emoji23] samaki hataki ushauri anaambiwa upo ndani ya box anasema nipo ziwani.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…