Muulize mamaako alimpendea nini babaako lofa hadi leo unawatukanisha hivi!
Pesa haina sura ya mtu!
Nyambaff!
Shosti ivi hii dunia niyakutegemea mwili au moyo wakupenda? jitume nje ya nchi nenda kwa pesa yako jipange na usiishi kwakuiga maisha ya watu kila mtu na bahati yake,labda wewe nyota yako ya Punda au ya Mbwa,changa hela yako ukiwa na m2-3 unakwenda nje ya nchi na unakaa hotel unakula nakurudi kwa raha zako,unapolipia pesa za wanaume zitakutokea na puani shostii....Jamani eee! Nimechoka ku date wanaume wazuri wa SURA, MFUKONI WABAILIIII! Yaani kila nikipata mpenzi ni mzuri, najikuta na fall kijinga, lakini WABAILIIII, MI SIWATAKI TENA.
Naomba MWANAUME MWENYE MOYO WA UTOAJI ANIONE NA MIMI NITOKE, ALAU NITOLEWE OUT ZA MAANA MWISHO WA DUNIA HUU JAMANI SJAPANDA NDEGE KWENDA NJE YA NCHI. Please anaejiweza aje Pm hatajuta na mimi ntampenda vile atahitaji.
Msinichambe please nimesema ukweli wangu
Jamani eee! Nimechoka ku date wanaume wazuri wa SURA, MFUKONI WABAILIIII! Yaani kila nikipata mpenzi ni mzuri, najikuta na fall kijinga, lakini WABAILIIII, MI SIWATAKI TENA.
Naomba MWANAUME MWENYE MOYO WA UTOAJI ANIONE NA MIMI NITOKE, ALAU NITOLEWE OUT ZA MAANA MWISHO WA DUNIA HUU JAMANI SJAPANDA NDEGE KWENDA NJE YA NCHI. Please anaejiweza aje Pm hatajuta na mimi ntampenda vile atahitaji.
Msinichambe please nimesema ukweli wangu
Hahaha. Jamaa huwa umekula moto tu arif! Umekatwa nini? Bargain tu, umpeleke hata Burundi. Si lazima Cancun.
Binti,inawezekana wenzio wanakutisha tena wengi wale wanaoenda DUBAI for 2-3 days. Kwa kifupi $1000 tu inakutosha kuenda Dubai na kuinjoi weekend moja vizuri tu huna haja ya kuwa bf tajiiiri, jipsange tu save $100 kila mwezi baada ya miezi 10 una hela ya kutosha,angaliu uende ka vacation once a yr
Jamani eee! Nimechoka ku date wanaume wazuri wa SURA, MFUKONI WABAILIIII! Yaani kila nikipata mpenzi ni mzuri, najikuta na fall kijinga, lakini WABAILIIII, MI SIWATAKI TENA.
Naomba MWANAUME MWENYE MOYO WA UTOAJI ANIONE NA MIMI NITOKE, ALAU NITOLEWE OUT ZA MAANA MWISHO WA DUNIA HUU JAMANI SJAPANDA NDEGE KWENDA NJE YA NCHI. Please anaejiweza aje Pm hatajuta na mimi ntampenda vile atahitaji.
Msinichambe please nimesema ukweli wangu
hahahahahahaha....huyu Mndengereko wa Rufiji mwisho wake Kisiju tu!..anajichetua tu humu mitandaoni!....empty-headed,hana hata marketing strategy!!
Muangalizi wa kimataifa na natangulia kule kwenye michano arifu!
vipi kama utapata pesa yenye uume badala ya mwanaume mwenye pesa? utakubali?Mwanaume mwenye pesa!