Am tired aisee!

Huyu nahisi hata marinda hana,ana tamaa sana na anachokijua na kufundishwa Mwanaume ndo atakua mkombozi wake wa maisha bila kujishughulisha
 
Njoo kwangu. Mi kama ninazo tunaspend tu. Zikiisha unavumilia kidogo wakati natafuta zingine.
 
Muulize mamaako alimpendea nini babaako lofa hadi leo unawatukanisha hivi!
Pesa haina sura ya mtu!
Nyambaff!

Hahaha. Jamaa huwa umekula moto tu arif! Umekatwa nini? Bargain tu, umpeleke hata Burundi. Si lazima Cancun.
 
Shosti ivi hii dunia niyakutegemea mwili au moyo wakupenda? jitume nje ya nchi nenda kwa pesa yako jipange na usiishi kwakuiga maisha ya watu kila mtu na bahati yake,labda wewe nyota yako ya Punda au ya Mbwa,changa hela yako ukiwa na m2-3 unakwenda nje ya nchi na unakaa hotel unakula nakurudi kwa raha zako,unapolipia pesa za wanaume zitakutokea na puani shostii....
 


Binti,inawezekana wenzio wanakutisha tena wengi wale wanaoenda DUBAI for 2-3 days. Kwa kifupi $1000 tu inakutosha kuenda Dubai na kuinjoi weekend moja vizuri tu huna haja ya kuwa bf tajiiiri, jipsange tu save $100 kila mwezi baada ya miezi 10 una hela ya kutosha,angaliu uende ka vacation once a yr
 
Hahaha. Jamaa huwa umekula moto tu arif! Umekatwa nini? Bargain tu, umpeleke hata Burundi. Si lazima Cancun.

hahahahahahaha....huyu Mndengereko wa Rufiji mwisho wake Kisiju tu!..anajichetua tu humu mitandaoni!....empty-headed,hana hata marketing strategy!!
Muangalizi wa kimataifa na natangulia kule kwenye michano arifu!
 
mwenzako hata mombasaraha hawajapanda ila wemeridhika, tamaa mbele mauti nyuma usisahau hiyo methali
 

I think it's different when a man foot the bill for a woman bruh. Haijalishi ni wapi, ya kitu gani, ama ni kiasi gani.
 

kwa nini usiwaze kumpata mtu mkaanzisha maisha mpk mkafanikiwa kwa pamoja. Nakwambia hutapata mume wa ndoto yako kwa kuwa you are not wife material. Wenzio wanaweka mapenzi kwanza mambo ya uzuri wa sura na utoaji vinakuja automatically mapenzi yakiwa ya dhati. Huna mapenzi unaweza pesa halafu kutafuta huwezi utazikwa hujapanda hata Fastjet
 
Poooooooooooooooooooooooooo huyu niachieni pleaeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees atatoa mlio tu
 
hahahahahahaha....huyu Mndengereko wa Rufiji mwisho wake Kisiju tu!..anajichetua tu humu mitandaoni!....empty-headed,hana hata marketing strategy!!
Muangalizi wa kimataifa na natangulia kule kwenye michano arifu!

Haha. Haya bana.

Kule we nenda tu. Mi nishamaliza. Called out, showed up, owned it.
 
Mimi ninayo ya kufika kariakoo, zamani nilikuwa nayo ya kufika buguruni... who knows, kesho ntakuwa nayo ya kufika feri... na zanzibar


Mdogo wangu, safari ni hatua, jifunze kutembea...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…