am sory boy

am sory boy

Jitahdi usiolewa hapo ndo zako ztabak kuwa zako,ila kama unategemea kuolewa humu bongo kwa tabia hyo ya chako chako,changu chetu,kaz unayo,atakayekuoa talaka ikae mfuku wa nyuma kama red card,kwan hapo itatoka mda c mrefu.
hahahaaaa mule mule mkuu!!!!!
 
This is comical. Lkn kama yuko hapa JF nadhani message has been received loud and clear...
 
mmmh nahisi ni mimi manake kuna demu mmoja hapa chuo nilimkopa laki2 wiki mbili zilizopita ni mwana jf
 
wherever ur are,najua nilikudissapoint baada ya kukutolea nje kukukopesha that money,4sure siwezi kumpa mwanaume pesa especialy sm1 i want 2have future with,am real sorry n am missing u come back soon,hope u wil pass through it

Napata picha you have never been broke..!! Hujawahi kua juu ya mawe aisee..!!
 
^^
Woman your rich but love I will buy for you
^^
 
wherever ur are,najua nilikudissapoint baada ya kukutolea nje kukukopesha that money,4sure siwezi kumpa mwanaume pesa especialy sm1 i want 2have future with,am real sorry n am missing u come back soon,hope u wil pass through it

hhahaha nikiwe unammiss yeye au dushelele lake bana

You cant eat your cake and have it.

CC The Boss
 
Last edited by a moderator:
hapana mimi c mpalestina,ila nikimpa tu pesa heshima yangu kwake itatoweka nitamdharau sitaki hlo litokee thats y nikamnyima

Ukimsaidia mwenzako utamdharau!!! Sijawahi sikia hii, kwa hiyo ni bora aendelee kuteseka wakati uwezo wa kumsaidia unao. Una mtazamo hafifu sana dada yangu. Badilika dada msaidie mwenzio.
 
mwanaume aplay role yake as a man na women waplay role zao,mbona huwa hamuwasaidii wake zenu kufua ama kupika,ila mwataka jukumu lenu msaidiwe na wanawake,nope i wil never do that








well said mamito,,..wanapenda dezo mno,,..they real like to ascape from their responsibility,,...!!
 
duh pole sana,ila inabidi ubadilishe mfumo wa maisha otherwise binadamu kusaidiana.
 
U are very right Nikiwe, nashikana bega na ww, ucthubutu kabisaa kumpa pesa hata akija anatembea na magoti!!!! juzi juzi tu hapa mwenzio nimetoka kulizwa, jamaa akaamua kukata kabisa mawacliano......uuuuh!! Sitokaa nimpe pesa yangu mwanaume!
 
U are very right Nikiwe, nashikana bega na ww, ucthubutu kabisaa kumpa pesa hata akija anatembea na magoti!!!! juzi juzi tu hapa mwenzio nimetoka kulizwa, jamaa akaamua kukata kabisa mawacliano......uuuuh!! Sitokaa nimpe pesa yangu mwanaume!

Tena ukiona amekata mawasiliano kisa umekataa kumkopa jua tu aliipenda pesa yako and nothing more.
 
wanaume wa siju hizi jwa kupiga mizinga ...... Heri hujampa

..Hivi kumbe nakosea kuazima fweza toka kwa mai switi wangu eh!
..Lakini hebu tuwe siriaz kidogo...hivi kusaidiana wakati wa urafiki kuna ubaya wowote, mbona mnakuwa na fikra potofu? kwani kijana hawezi kupigika, au yeye siku zote lazma awe na pesa?
 
duh pole sana,ila inabidi ubadilishe mfumo wa maisha otherwise binadamu kusaidiana.

Leo nimekupenda bure....
binadamu lazma wasaidiane, ndivyo maisha yanavyoenda.
 
my money is mine n no man wil ever touch ma money

My money my money my money...i dare you wewe huna hela ila umekutana na mtu wa chini ya daraja yako! !!!

Wewe ni mtu wa kipato cha kati na every single peeny in your possession has a fixed target thats why you cant help in between your lines you are just saying that "mi mwenyewe nahangaika na yangu nimsaidie mtu"

Mwnamke bahili ni sumu ya maendeleo ya mwanaume na hukimbiza baraka ndani ya nyumba wewe ni wa kuogopwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom