am sory boy

am sory boy

huo ni ubinafsi, msaidie mwenzi wako ndo raha ya kuwa na mpenzi achana hizo formula za kukariri
 
dont get me wrong,wajua vijana wa kileo ukimzoesha kumpa fedha anabweteka na akishajua unamake zaid yake atakuja kukuachia jukumu la kulea family mama peke yako,so nataka from the beggng afahamu yeye ni baba head of family na provider
Haitakiwi uwe ni mchezo wa kila siku, bila shaka atakua anakopa siku moja moja, vinginevyo huyo mwenza wako hana kitu, ukubali tu kubeba majukumu, au utafute mkwasi..
 
no he has a job just like me sema namzidi kipato,it was abt 2days b4 apate salary that y nikachuna,all in all nahitaji mwanaume kwa maana ya family protector na provider,akishindwa hilo hafai kuwa mwenzi wangu
Haitakiwi uwe ni mchezo wa
kila siku, bila shaka atakua anakopa siku moja moja, vinginevyo huyo
mwenza wako hana kitu, ukubali tu kubeba majukumu, au utafute
mkwasi..
 
nililost mobile,anapoishi na kuwork ni mbali na kwangu n am too busy to go there,situmii forums zingine zaid ya jf
NA wewe mleta mada unataka tujadili wewe kumuomba msamaha boy wako?Poorest topic I have ever seen.
Si umtumie inbox JF,fb,tweeter,BBM,mocospace etc ama kwenye private mobile phone number.
 
no he has a job just like me sema namzidi kipato,it was abt 2days b4 apate salary that y nikachuna,all in all nahitaji mwanaume kwa maana ya family protector na provider,akishindwa hilo hafai kuwa mwenzi wangu
Sasa mtu unaemzidi kipato si majanga hayo..!! kila siku atajiona inferior labda muwe mnashare matumizi hasa hasa home expences, halafu yeye abaki na mambo mengine, ada za shule, nguo n.k.
 
lengo hasa ni kuwa aipate message if atapass here,sikuwa na other option, nilitegemea wengine mpite kimya tu....
 
hatujafika huko kwenye kuwa na family,he is smart young advocate with potential najua atakuja kumake zaidi yangu hapo baadae thats y nataka atake his part as a man this early wanasema the end justify the means
Sasa mtu unaemzidi kipato
si majanga hayo..!! kila siku atajiona inferior labda muwe mnashare
matumizi hasa hasa home expences, halafu yeye abaki na mambo mengine,
ada za shule, nguo n.k.
 
hatujafika huko kwenye kuwa na family,he is smart young advocate with potential najua atakuja kumake zaidi yangu hapo baadae thats y nataka atake his part as a man this early wanasema the end justify the means
Ok! sasa nimekupata vilivyo mkuu, hapo kuna mwelekeo mzuri tu, kama ni hivyo basi best wishes!
 
..Hivi kumbe nakosea kuazima fweza toka kwa mai switi wangu eh!
..Lakini hebu tuwe siriaz kidogo...hivi kusaidiana wakati wa urafiki kuna ubaya wowote, mbona mnakuwa na fikra potofu? kwani kijana hawezi kupigika, au yeye siku zote lazma awe na pesa?



mkuu hivi ni kweli hayo maneno kwenye signature yako aliyasema mukulu prezida wa tz???
 
my money is mine n no man wil ever touch ma money
changu changu chako chako, huwezi ku-bond nusu nusu kama unahitaji a working relationship. ili uhusiano uwe na future ni zaidi ya kukutana kwenye uwanja wa seremala pekee. nishaona watu wenye pesa zao wakilia kwa sauti ndani ya magari yao ya kifahari, any way huwa wanapandisha vioo.
 
Wewe ni bahiri,golddigger,you mean wewe huwez kumnunulia boy wako lunch au shati? Hauwezi kuchoma nauri yako kumfuata boy wako alipo,au mpaka akutumie..you mean boy wako asipokuwa na cash mausiano yanaisha? Kama ulikuwa na hiyo hela alaf umemnyima jamaa yako haujamtendea haki kabisa..you say your money is your money,kwa nini his money is your money? Are you with him in exchange of money? Are you just passing lust with him?do you realy feel him?ooh no you people are not in a strong bond at all.
 
wherever ur are,najua nilikudissapoint baada ya kukutolea nje kukukopesha that money,4sure siwezi kumpa mwanaume pesa especialy sm1 i want 2have future with,am real sorry n am missing u come back soon,hope u wil pass through it

USIMKOPESHE. Siku utakayomwambia akulipe ndio uhusiano wenu utakapofika mwisho, ATANUNA na maneno kibao yataanza. Ni bora lawama kuliko fedheha. Kama hajawahi kukusaidia kwa chochote, ni bora kila mtu akabaki na MA-DOLLAR yake. Atakopa kwako anaenda kuhonga kwingine. Tena ikiwezekana na wewe anza kutangaza shida asije akafikiri unazo nyingi, akaona ndio mahali pa kuchota. Maana hawa wanaume wetu waliozoea mizinga, wanatabu kwelikweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom