Am happily married but feeling so lonely inside

Kama the guy haoneshi kunadilika,na anakupenda kama kawaida,na heshima ipo,so why unawaza negative?mi nilidhan ameonesha some changes..lol usipanik keep on loving ur hubby
 
Am feeeling hurt coz i wonder if am in his heart and he over with his ex coz they no love except for the fisrt love
Mmy emitional tupa kuleee kuwa logical wweee ndio mkeee wake sasa shida nn x ni x it wont b next
 
Nahisi not loved sababu his love story imeniathiri sana hadi nahisi labda ameeowa sababu tu wakati umefika but his heart is not with me
And what if you are feelings are right, is there anything you can change?
 
Kweli mkuu umriiii badooo angetakiwa anafanya UE akimbizane na sapu but ukiona nyani kazeeka...... ndiye aliyekwepa mishale mingi
 
If at all this is true,You seem really lonely.Mpaka saa saba za usiku unajibu comments za watu!!!...Ama Haupo East Africa?
 
Kama the guy haoneshi kunadilika,na anakupenda kama kawaida,na heshima ipo,so why unawaza negative?mi nilidhan ameonesha some changes..lol usipanik keep on loving ur hubby
Wewe huna ma X, au alikuoa ukiwa bikira?
Hacha kuishi kwa hisia hisia?
 
Am feeeling hurt coz i wonder if am in his heart and he over with his ex coz they no love except for the fisrt love
Hebu andika kwa kiswahili nikuelewe. sorry sijaelewa kabisa
 

Achana naye
 
Kweli si kila mwanamke anafaa kuwa mke...
 
hahaaa unajipa stress tu.. wengine wanachat kabisa and life goes off, get occupied with something else.
ikifika muda wa mapenzi peaneni mapenzi like you're in your own world.
ila ukikaa kaa tu kila saa unamuwaza mtu wallah ukifija 30`s unalingana na bibi wa 60`s
 
Nahisi not loved sababu his love story imeniathiri sana hadi nahisi labda ameeowa sababu tu wakati umefika but his heart is not with me
Tittle yako inasema yu happily married...then ukaja kutuambia...you love yo hubby and he loves you too and you have a kid...ukasema tena you have been on love for two yrs....Sasa unahisi you not loved kisa tu umesikia past love story yake...unachoshikilia bango ni kwamba we only love once..

Nikuulize kwani wewe huyo hubby wako ndo mwanaume wa kwanza kufall in love with..kama sio kwa nn wewe husihisi kuwa naye anaumia kwa vile yeye sio wa kwanza kwako ila wewe ndo uajiona kuw unajua sana kuumia na past love affairs za wenzako..

Mdada jaribu kukua basi...acha hzo bhana we vipi???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…