Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 29,133
- 93,286
your inputs my dear[emoji19]Yaani kuna vitu huwa navishangaaga sana kwenye mahusiano mpaka nabaki nachekaga tuu kwa huzuni....aiseee!!!!
nakusanya comments za wadau.....nakuja na conclusion yako [emoji23] [emoji23] chozi litakudondoka [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
You are funny boy.
dah[emoji16]Shusha window 7 weka ubuntu.
Unamuonea huruma ni mama yako huyo?
Wacha weeeh!nakusanya comments za wadau.....nakuja na conclusion yako [emoji23] [emoji23] chozi litakudondoka [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Slimu uwaoe wote.
soma vizuri mkuu sijamtokea kafall mwenyewe[emoji16] [emoji16]Wewe inaonekana unajiona most wanted sana na ulijua unapanga kukitokea hicho kidemu cha chuo ndio maana ukampa likizo huyo mwezi wako!
Yaani Mwanaume unasema eti ulimpa mda mpenzi wako ili ajirekebishe?
Mambo gani hayo ambayo yalishindikana mkiwa wote?
Karma is an ugly bitch
Umejua kweli kumbana mbavu, safi sana.
Hahahaaaa!! Awaoe tu chemistry itakuja mbele ya safari.Sasa atawaoaje wote wakati mmoja ana chemistry na mwingine sayansi kim?
bad thing huyu tuko nae same region akipiga akinikosa straight anakuja home
(Shetani mbaya sana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16])Kwema wana jf!
Najihisi mwenye makosa sana......sina amani. Iko hivi nimekua kwenye mahusiano na my girl for almost 3.5 years now, tumefanya mambo mengi sana kwenye relationship yetu na nimemsaidia vitu vingi pia. We used to have ups and downs in our relationship inshort tulipendana sana and we still love each other but last yr mwishoni kuna issue ilitokea ikasababisha mimi kama mimi nipunguze mapenzi kwake lakini nilimwambia each and everything nafanya vile kwa sababu gani(i gave her the room for improvements because she is the woman of my dream and we have a lot of commitments) though tulikua tunaendelea kuwasiliana kawaida lakini sio kivile.....we are living in different regions.
Katika kipindi cha improvements tulichopeana sadly ikatokea mwanamke mwingine kanipenda as a man tamaa kama kawaida zikaniingia( shetani mbaya sana[emoji16] [emoji16] [emoji16] ) tukaanza kudate mtoto wa watu kakolea haambiliki inshort humwambii kitu kuhusu mimi na yuko chuo anasoma bado .Kifupi she is addicted to me kashanitambulisha kwa rafiki zake wote na baadhi ya ndugu zake kua am his man though mimi sina plan nae yoyote kiukweli .
Kilichonileta hapa wadau nataka ushauri najua kuna nyani wazee humu[emoji2] [emoji2] [emoji2] washakwepa mishale mingi na washakutana na vingi [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mwanamke wangu wa kwanza kashajirekebisha na karudi moto pia ni mwanamke nayepanga kuoa kwa sababu anajulikana kwetu pia mimi na julikana kwao and pande zote hawajui kama tulikua na mis understanding btn us.....we have chemistry between us
Huyu mtoto wa chuo kiukweli sina feelings nae na sitaki kuchezea hisia zake na kumpotezea muda pia na bahati coz possible kuna vidume kibao anavitolea mbavuni kwa sababu yuko na mimi kwangu nahisi ni right time ya kumdrop off.....naanzaje sasa AM FEELING GUILTY FOR THIS.....nafsi inanisuta Lord forgive me [emoji120][emoji120][emoji120]
Hahahaaaa!! Awaoe tu chemistry itakuja mbele ya safari.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mshukuru Mungu hajakulengeshea mimba, ungeongea kifaransa.
Akumbuke tu karma is real.Mwenzio anataka ku drop. No more carrying.
Wakati unampakia hauombi ushauri, wakati wa kudrop baada ya kufunua na kufunika una feel guilty na maneno meengi ya kiingereza.
Be a man
Hahahahahah!!!! Mkuu, hakika wewe ni expert member.
kweli mkuu najitahidi kuiepuka(Shetani mbaya sana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16])
Ulipoanaza kucheka na ahetani ndo tatzo linapoanzia hapo. Hio hatia usipoangalia ikakutafuna kama mimi iepuke haraka sana
ningetunza mtoto hilo halina shida kabisaMshukuru Mungu hajakulengeshea mimba, ungeongea kifaransa.