Nchi za kiislam hasa maka na madina
hao wakenya wako somalia kwa shinikizo la marekani,, wakenya wanaumia kulinda maslahi ya marekani. toka kenya waende somalia wameshakufa wangapi? tafakari , wasomali wanawapenda sana al shabab,, serkali ya somali haina sapoti yoyote na wasomali..
KDF wako wapi sasa? Nchini kwao hakukaliki... huko walikokwenda kwa nguvu zote ikulu imebebwa......sasa hawa KDF wamejificha wapi? Au wamerudi Westgate kupora soda?
inamaana huwa wanafurushwana au? maana kama ni kawaida basi hiyo ikulu inatumika kwa zamu
Al shabaab wameiteka ikulu ya Somalia na mapigano makali yanaendelea baina ya wanajeshi wa Serikali na wanamgambo hao wa Al shabaab. Bado haijafahamika kama Rais wa nchi hiyo kama yuko hapo Ikulu au nje ya Ikulu.
Source: Sky News
kwani ccm ina activity yoyote somalia hata tbc irushe habari zao?? (jocking), btw, AMISOM si wapo huko???wakuu mbona sasa ni taarifa ya habari ila vyombo vyetu vya habari kama TBC hakuna habari kama hii?
wangeiteka ya magogoni ningechinja kambuzi kangu..
Safi sana hao ndiyo wanaumeAl shabaab wameiteka ikulu ya Somalia na mapigano makali yanaendelea baina ya wanajeshi wa Serikali na wanamgambo hao wa Al shabaab. Bado haijafahamika kama Rais wa nchi hiyo kama yuko hapo Ikulu au nje ya Ikulu.
Source: Sky News
Wenye jukumu la kulinda Ikulu ni UDF na Burundi.Kwasababu KDF ndio wanaotakiwa kuhakikisha Al Shababu wanasambaratika. Kenya ndio inayo nufaika zaidi na usalama somalia hivyo wanatakiwa kuhusika kwa kiwango kikubwa.
Binadamu ndivyo walivyo, kesho utawasikia wanalalamika na kuwalaani Shabab!Ya kaisari tumuachie kaisari. ya somalia tuwaachie wasomali.. Al shabab inapendwa sana somalia,,, leo somalia ni sherehe kila mahali
wangeiteka ya magogoni ningechinja kambuzi kangu..
KDF wako wapi sasa? Nchini kwao hakukaliki... huko walikokwenda kwa nguvu zote ikulu imebebwa......sasa hawa KDF wamejificha wapi? Au wamerudi Westgate kupora soda?
Mkuu unachuki na nchi yetu