Alshabaab waiteka ikulu ya Somalia

Alshabaab waiteka ikulu ya Somalia

Status
Not open for further replies.
Karibuni zanzibar alshabab vidume wa makafiri.
 
Nchi za kiislam hasa maka na madina
Wajinga tu,.. wanadhani wanaweza kutumia bunduki kulazimisha dunia kufuata imani yao ya kisufi na utamaduni wao. Inafaa dunia kususia mafuta yao kuwanyima fedha ambazo hawajui lipi jema la kufanya nazo.
 
Ukiwaona wasomali alivyo utasema jinga unakuta kapiga msuli na singlendi huku mikononi anarushia miraa mdomoni
Shika hapo anaweza kurukia kama anavyoteka meli
 
Nliangalia haya mapigano ya somalia yalianza kijinga sana miaka hiyo..ila mpaka sasa hivi yanawatafuna..
 
Nchi za kiislam hasa maka na madina

Chuki zako juu ya Uislamu zinakufanya uonekane ukilaza wako, sasa sijui umesoma shule za kata?
Umewah kusikia kuna nchi inaitwa makka ama madina?
Hio ni miji tu mitukufu kwetu waislamu ambayo ipo chini ya Saudi Arabia.
Na sifa ya miji hio haingiliwi kisiasa na serikali yao sababu inaendeshwa kwa mali za waislamu dunia nzima ambao huenda kuhiji
 
lawmaina78 ingawa unaugulia maumivu ya kipigo cha brazil vs germany,please pitia hiyo post hapo juu.

Duh! watoto wa Hitler hawana huruma, yaani Kombe la Dunia wanahusisha hasira ya kufa mtu.
Alshabaab wafunge mwezi huu, majeshi yote yaliyopo Somalia yalitulia wakidhani hawa jamaa wanaheshimu mwezi.
 
Hivi wanataka nini hawa? nielimisheni

Ni ugomvi wa koo za huko somali. Visasi kwa wingi na utemi. Wasomali wengi wamekuwa ki gangstar, kwa hiyo kila group linataka liwe huru na mambo yake bila kuwekewa sheria na mtu au serikali.
Mambo ya dini wanachukulia kama kigezo. Lakini issue ni ma group ya majambazi yakiwa yamefungamana ki ukoo na ki familia
 
Naomba tujadili hili. Hivi unaweza kunambia kwanini Majeshi ya Kenya yako somalia?


Labda tuanzie kujadili kwa namna hii..."HIVI KWANINI MAJESHI YA TANZANIA YAPO DRC & SUDAN"?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom