Alshabaab waiteka ikulu ya Somalia

Alshabaab waiteka ikulu ya Somalia

Status
Not open for further replies.
Mbona huulizi UDF na 'BDF' vile vile kwani nao wako huko?

Jeshi la Kenya lipo kwenye uwanja wa vita , na jeshi la Uganda na Burundi wao wanazilinda ikulu , wapiganaji wa alshabab ni hatari Maana hawana sare wanavaa kiraia inakuwa vigumu kuwatambua kwa haraka .
 
Natamani hayo majeshi ya kenya na AU yote yateketezwe na al shabab..al shabab ni mashujaa

Du ! We kweli Mnyama ! Unataka jirani zetu watakatee?ujue Leo Kenya akishindwa kesho watasogea Tz na kwingineko.
 
Du ! We kweli Mnyama ! Unataka jirani zetu watakatee?ujue Leo Kenya akishindwa kesho watasogea Tz na kwingineko.

Msamehe bure kwani siyo kosa lake...dini za kuletewa zimemtia upofu. Hapo mwenzako anangalia dini kwanza.
 
Jeshi la Kenya lipo kwenye uwanja wa vita , na jeshi la Uganda na Burundi wao wanazilinda ikulu , wapiganaji wa alshabab ni hatari Maana hawana sare wanavaa kiraia inakuwa vigumu kuwatambua kwa haraka .

Mkuu Majeshi ya AU toka Uganda,Burundi na baadhi ya Vikosi vya Jeshi la Ethiopia ndio wapo Mogadisho. Jeshi la Kenya wapo Kusini ya Somalia na mji wa bandari wa Kismayo. Ni kawaida Alshabab kutuma wapiganaji wa kujitoa mhanga kuingia Ikulu kwa nguvu. Baadaye huwa wanafurushwa!
 
Jana tu,raia wamepigwa mabomu kwa maandamano waliyotaka Kenyata ajiuzulu.
Aisee Alshabab wamefikia pabaya.Uhuru ang'oke madarakani.mpaka kufika hapo alipo tayari ashaonyesha nchi kumshinda,
 
Du ! We kweli Mnyama ! Unataka jirani zetu watakatee?ujue Leo Kenya akishindwa kesho watasogea Tz na kwingineko.

hao wakenya wako somalia kwa shinikizo la marekani,, wakenya wanaumia kulinda maslahi ya marekani. toka kenya waende somalia wameshakufa wangapi? tafakari , wasomali wanawapenda sana al shabab,, serkali ya somali haina sapoti yoyote na wasomali..
 
Jana tu,raia wamepigwa mabomu kwa maandamano waliyotaka Kenyata ajiuzulu.
Aisee Alshabab wamefikia pabaya.Uhuru ang'oke madarakani.mpaka kufika hapo alipo tayari ashaonyesha nchi kumshinda,

kenyata arudishe majeshi yake nyumbani,, la sivyo atamaliza raia wake
 
hwa jamaa ni hatari kwa usalama east africa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom