Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,718
- 13,436
Yeye hajazungumzia ukabila wewe umeshaingiza uchaga.hao ndio wachaga..ikulu angekuwepo mchaga asingesema hivyo
Kati yake na wewe nani ni mkabila?
Yeye hajazungumzia ukabila wewe umeshaingiza uchaga.hao ndio wachaga..ikulu angekuwepo mchaga asingesema hivyo
Mkuu, kwa nini!?
Waislamu tuungane kupinga vitendo vya Al shaababu, haiwezekani mwezi mtukufu wewe unaenda kuteka ikulu.
Waislamu tuungane kupinga vitendo vya Al shaababu, haiwezekani mwezi mtukufu wewe unaenda kuteka ikulu.
wangeiteka ya magogoni ningechinja kambuzi kangu..
Al shabaab wameiteka ikulu ya Somalia na mapigano makali yanaendelea baina ya wanajeshi wa Serikali na wanamgambo hao wa Al shabaab. Bado haijafahamika kama Rais wa nchi hiyo kama yuko hapo Ikulu au nje ya Ikulu.
Source: Sky News
Naomba tujadili hili. Hivi unaweza kunambia kwanini Majeshi ya Kenya yako somalia?
Al shabaab wameiteka ikulu ya Somalia na mapigano makali yanaendelea baina ya wanajeshi wa Serikali na wanamgambo hao wa Al shabaab. Bado haijafahamika kama Rais wa nchi hiyo kama yuko hapo Ikulu au nje ya Ikulu.
Source: Sky News
Mmh...wewe unatafuta ugomvi!Nchi za kiislam hasa maka na madina
Kwasababu KDF ndio wanaotakiwa kuhakikisha Al Shababu wanasambaratika. Kenya ndio inayo nufaika zaidi na usalama somalia hivyo wanatakiwa kuhusika kwa kiwango kikubwa.Mbona huulizi UDF na 'BDF' vile vile kwani nao wako huko?
kwanini wazungu hawaingilii haya mambo aisee !
Mkuu Majeshi ya AU toka Uganda,Burundi na baadhi ya Vikosi vya Jeshi la Ethiopia ndio wapo Mogadisho. Jeshi la Kenya wapo Kusini ya Somalia na mji wa bandari wa Kismayo. Ni kawaida Alshabab kutuma wapiganaji wa kujitoa mhanga kuingia Ikulu kwa nguvu. Baadaye huwa wanafurushwa!
Al shabab vs somali wote ndugu.
kuongoza nchi za kiislamu shida sana.
Nchi za kiislam hasa maka na madina
wangeiteka ya magogoni ningechinja kambuzi kangu..
Rais wao sio huyu anahojiwa hapa ITV on meet the leaders program?