Vitabu vya dini vinasema ukiona maiti imechelewa kuzikwa kwa muda mrefu basi huyo hakua mtenda mema.
Mmemweka kwenye fridge wiki nxima,mkamruhusu upendo peneza aape mapema ili aende kumzika,,baadae mkataka msiba uwe wa kiprpaganda,mkamkalisha kwenye fridge eti mpka shein mumzomee,,,,hvi kama aluekufa hamumjali hvi je tukiwapa nchi itakuaje,,au mnadhani millioni 34 zenu zinaifanya familia yake iwachukulie poa eti,muacheni akapumzike ,,this is too much sasa
Popo bawa hilooWalianza na Lowassa wakahamia kwa Maalim Seif wakaenda kuzomea Bungeni wakaenda kutimuliwa kwny Msosi Dodoma sasa wamehamia kwny Maigizo ya Kutembeza mwili wa Marehemi. Kuweni na Adabu acheni familia ipumzishe mwili wa Marehemu panapostahili, ingekuwa kafa ndugu yao wangefanya hayo maigizo?
mzikeni jamani,kwa nini mnamtesa namna hii marehemu?
Marehemu hana la kuteseka tena best... mateso yake yaliishia kwenye tone lake la mwisho la damu baada ya unyama alofanyiwa
Walianza na Lowassa wakahamia kwa Maalim Seif wakaenda kuzomea Bungeni wakaenda kutimuliwa kwny Msosi Dodoma sasa wamehamia kwny Maigizo ya Kutembeza mwili wa Marehemi. Kuweni na Adabu acheni familia ipumzishe mwili wa Marehemu panapostahili, ingekuwa kafa ndugu yao wangefanya hayo maigizo?
Walianza na Lowassa wakahamia kwa Maalim Seif wakaenda kuzomea Bungeni wakaenda kutimuliwa kwny Msosi Dodoma sasa wamehamia kwny Maigizo ya Kutembeza mwili wa Marehemi. Kuweni na Adabu acheni familia ipumzishe mwili wa Marehemu panapostahili, ingekuwa kafa ndugu yao wangefanya hayo maigizo?
Serikali ya Magufuli ndiyo inayomtesa.
kwahiyo wewe huoni jinsi wanavyomuhangaisha marehemu? Matokeo yake anaweza kuamka na kuwaambia mumzike maana Naona Mnaleta Siasa Hata kwenye Misiba
Ni Nani aliyemdanganya akawa mwanachama wa Genge la Freemason.... ukiwa ni wakili wa shetani moto na adhabu utaanza kuvipatia hapa hapa.... watu wote waliofanyiwa unyama na kiumbe huyu waanza kulipiwa hapa hapa!!
Walianza na Lowassa wakahamia kwa Maalim Seif wakaenda kuzomea Bungeni wakaenda kutimuliwa kwny Msosi Dodoma sasa wamehamia kwny Maigizo ya Kutembeza mwili wa Marehemi. Kuweni na Adabu acheni familia ipumzishe mwili wa Marehemu panapostahili, ingekuwa kafa ndugu yao wangefanya hayo maigizo?
Bora nimezaliwa muislamu duh!
Ni Nani aliyemdanganya akawa mwanachama wa Genge la Freemason.... ukiwa ni wakili wa shetani moto na adhabu utaanza kuvipatia hapa hapa.... watu wote waliofanyiwa unyama na kiumbe huyu waanza kulipiwa hapa hapa!!
Una maana ule moto kwenye nembo ya magufuli nini?