luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,153
- 21,788
mzikeni jamani,kwa nini mnamtesa namna hii marehemu?
amekubana nini? Kwani yuko kwako?
mzikeni jamani,kwa nini mnamtesa namna hii marehemu?
Walianza na Lowassa wakahamia kwa Maalim Seif wakaenda kuzomea Bungeni wakaenda kutimuliwa kwny Msosi Dodoma sasa wamehamia kwny Maigizo ya Kutembeza mwili wa Marehemi. Kuweni na Adabu acheni familia ipumzishe mwili wa Marehemu panapostahili, ingekuwa kafa ndugu yao wangefanya hayo maigizo?
Huyo mawazo hana ndugu.haiwezekani kama kweli ana ndugu wakubali mawazo aoze kusubiri vikao vya nyumbu wakijadili kwenda mahakamani
amekubana nini? Kwani yuko kwako?
Walianza na Lowassa wakahamia kwa Maalim Seif wakaenda kuzomea Bungeni wakaenda kutimuliwa kwny Msosi Dodoma sasa wamehamia kwny Maigizo ya Kutembeza mwili wa Marehemi. Kuweni na Adabu acheni familia ipumzishe mwili wa Marehemu panapostahili, ingekuwa kafa ndugu yao wangefanya hayo maigizo?
Kwa akili yako unataka azikwe tu kirahisi kama kafa kwa MARALIA sio? Huyu mtu KAUAWA! tena sio tu kauawa, lakini wauaji wamemshambulia akiwa kazini! Kazi za CHAMA! HAWEZI KUZIKWA KITOTO TU! Anastahili heshima yake. Achha ujinga
hao walipewa Heshima Sehemu gani na Walikuwa nani katika Nchi hii?
Sasa mbona hamuwapi majina ya Neema watoto wenu?