Alphonce Mawazo Kutokuzikwa Kesho

Alphonce Mawazo Kutokuzikwa Kesho

Huyo mawazo hana ndugu.haiwezekani kama kweli ana ndugu wakubali mawazo aoze kusubiri vikao vya nyumbu wakijadili kwenda mahakamani

aliyeoza ni wewe ambaye hujui jua linazama saa ngapi laana ii juu yako
 
mkuu unadhani Hawa jamaa Wana Akili? Ipo siku utasikia mwenyekiti kawauza wote tena kwa Bei ya Jumla.. Haiwezakani muendeshwe tu kama vipofu
wewe mbona bei ndogo sana kama unajianika kwa kukosa utu na kuenda kuonyesha thread kwa book saba unathamani gani wewe zaidi ya kwenda choo na kulala
 
Siku baadhi ya Wa CDM watapoanza kubeba fikra kama za zitto ndipo utakuwa mwisho Wa Freeman Mbowe. Unyumbu utawapoteza wengi chadema.
 
Habari za hivi Pundi Zilizotufikia kutoka kanda ya ziwa na kudhibitishwa na msemaji mkuu wa Chadema Tumaini Makene.

Kwa sasa inaweza kuthibitishwa rasmi na kwa usahihi kuwa ratiba ya kumpatia heshima za mwisho kumuaga kiongozi wetu mahiri na kipenzi cha watu Alphonce Mawazo imebadilika.

Baada ya mashauriano kupitia vikao yaliyofanyika takriban siku nzima ya jana hadi usiku, imekubalika kuwa Mawazo hatazikwa kesho Jumatatu kama ilivyokuwa imepangwa awali na leo hataagwa mjini Geita kama ambavyo wananchi walikuwa wameshataarifiwa kupitia njia mbalimbali.

Taarifa ya ratiba nyingine kuhusu utoaji heshima za mwisho kumuaga Mawazo na mazishi yake, itatolewa baadae.

Tumaini Makene
Mmemweka kwenye fridge wiki nxima,mkamruhusu upendo peneza aape mapema ili aende kumzika,,baadae mkataka msiba uwe wa kiprpaganda,mkamkalisha kwenye fridge eti mpka shein mumzomee,,,,hvi kama aluekufa hamumjali hvi je tukiwapa nchi itakuaje,,au mnadhani millioni 34 zenu zinaifanya familia yake iwachukulie poa eti,muacheni akapumzike ,,this is too much sasa
 
Walianza na Lowassa wakahamia kwa Maalim Seif wakaenda kuzomea Bungeni wakaenda kutimuliwa kwny Msosi Dodoma sasa wamehamia kwny Maigizo ya Kutembeza mwili wa Marehemi. Kuweni na Adabu acheni familia ipumzishe mwili wa Marehemu panapostahili, ingekuwa kafa ndugu yao wangefanya hayo maigizo?

Toa ujinga Wako hapa, peleka huko FB
 
Habari za hivi Pundi Zilizotufikia kutoka kanda ya ziwa na kudhibitishwa na msemaji mkuu wa Chadema Tumaini Makene.

Kwa sasa inaweza kuthibitishwa rasmi na kwa usahihi kuwa ratiba ya kumpatia heshima za mwisho kumuaga kiongozi wetu mahiri na kipenzi cha watu Alphonce Mawazo imebadilika.

Baada ya mashauriano kupitia vikao yaliyofanyika takriban siku nzima ya jana hadi usiku, imekubalika kuwa Mawazo hatazikwa kesho Jumatatu kama ilivyokuwa imepangwa awali na leo hataagwa mjini Geita kama ambavyo wananchi walikuwa wameshataarifiwa kupitia njia mbalimbali.

Taarifa ya ratiba nyingine kuhusu utoaji heshima za mwisho kumuaga Mawazo na mazishi yake, itatolewa baadae.
Tumaini Makene

Habari itatolewa na Familia ya Mawazo au na Hospitali? Atazikwa makaburi gani?
 
Diva kwanza uliza Police kwa nini wana ga'ng'ania msiba usio wao maana hajawahi kuwa kiongozi wao. Wao ndi wanajaribu kuweka siasa za kutumwa. Nambie shule ukiishia la ngapi na marks zako za mwisho ilipata ngapi?????
 
Huyo mawazo hana ndugu.haiwezekani kama kweli ana ndugu wakubali mawazo aoze kusubiri vikao vya nyumbu wakijadili kwenda mahakamani

Ndugu wanahofia kukosa hizo million 30 na ushee walizochanga wabunge wa nyumbu. Hawana sauti.
 
Hivi mbona mtoi hakupewa heshima zote hizi? Au ndio kuna vyeo hata kwenye kifo?
 
Back
Top Bottom