Ally Mayai Tembele alipata division 0 form 6 au form 4

Wakati nafanya degree 2001 ya kwanza nadhani ulikuwa unanyea poti.. Na kuvaa pampers.. Ikutoshe tu am a senior member Hapa jf.

Kosa lako Leo uba bleed bi Dada..una hasira hasiraaaa

Duh weka picha zako tukuone
 
Ninachojua ni kuwa mgombea sahihi kabisa Ali tembele ana shahada ya kwanza ndio maana amechukua form na anakidhi vigezo na kanuni za uchaguzi za TFF zinazotaka mgombea wa nafasi ya urais walau awe na shahada ya kwanza.
 
Nikimjua vizuri yeye Ali..kwa maana tukiishi jirani kabisa..na mama yake mzazi Ali pale Dodoma kuna sehem alipata 0..kama sio form 4 basi 6..

Yeya alikuwa akisomea secondary dar es salaam.. Makongo sijui makongo..sasa ataweza kweli kuongoza TFF??

Mkibisha hii naleta jingine.
Rugalabamu acha uzushi
 
Ninachojua ni kuwa mgombea sahihi kabisa Ali tembele ana shahada ya kwanza ndio maana amechukua form na anakidhi vigezo na kanuni za uchaguzi za TFF zinazotaka mgombea wa nafasi ya urais walau awe na shahada ya kwanza.
We we humjui...sie tumeishi nae..tumekua nae..tulieni mrambe dawaa..kesho napiga tena kombora la pill.
 
Nikimjua vizuri yeye Ali..kwa maana tukiishi jirani kabisa..na mama yake mzazi Ali pale Dodoma kuna sehem alipata 0..kama sio form 4 basi 6..

Yeya alikuwa akisomea secondary dar es salaam.. Makongo sijui makongo..sasa ataweza kweli kuongoza TFF??

Mkibisha hii naleta jingine.
Kwani urais wa TFF unasomewa wapi? Kama RC anatakiwa ajue kusoma na kuandika tu, ndio itakuwa mpira huu ambao hata asiyejua kusoma anaujua?
 
Mh, mtoa mada hakuna chochote cha msingi na huna details zozote. Kwani kukaa Nate cjui kumjua mama yake ndiyo mini. Toa ushuzi wako mfyuuu
 
Nikimjua vizuri yeye Ali..kwa maana tukiishi jirani kabisa..na mama yake mzazi Ali pale Dodoma kuna sehem alipata 0..kama sio form 4 basi 6..

Yeya alikuwa akisomea secondary dar es salaam.. Makongo sijui makongo..sasa ataweza kweli kuongoza TFF??

Mkibisha hii naleta jingine.
Hili jina amekupa nani?
 
Ana degree lakini ujue. Alafu hata wewe hujui alipata 0 level gani basi utulie. No research no right to speak.
 
Back
Top Bottom