Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,536
- 2,187
Mkubwa kama humjui mayay kaa kimya, nenda CBE utapata taarifa zake
Toa hizo data kamaunavyotamba.Nasema mkibisha hilo la kupata 0 nitatoa lingine kubwa..msinipimie...nimechokoza mada..Nina data..
Mbona Bashite anaongoza WASOMI na watu wenye vyeti na nafasi kubwa serikalini, sembuse ally kuongoza MPIRA ambao kacheza...ww km Malinzi kakutuma mwambie tumekataaaNikimjua vizuri yeye Ali..kwa maana tukiishi jirani kabisa..na mama yake mzazi Ali pale Dodoma kuna sehem alipata 0..kama sio form 4 basi 6..
Yeya alikuwa akisomea secondary dar es salaam.. Makongo sijui makongo..sasa ataweza kweli kuongoza tff??
Mkibisha hii naleta jingine.
Huyo aliefaulu kafanya nini? Kafaulu darasani lkn kwenye utendaji ni zeroAlifeli ana decision 0 hawezi kuongoza TFF..msituletee mambo ya abajalo Sinza Hapa.tff ni kitu kikubwa.
Ikutoshe tu Nina MBA
Kuandika vzr huwezi unapata wapi ujasiri wa kupinga elimu ya mtu?Alifeli ana decision 0 hawezi kuongoza TFF..msituletee mambo ya abajalo Sinza Hapa.tff ni kitu kikubwa.
hii ni kadi au aina ya gari?Alifeli ana decision 0 hawezi kuongoza TFF..msituletee mambo ya abajalo Sinza Hapa.tff ni kitu kikubwa.
Mkuu umeulizwa ulipata ngap kidato cha nne,Ikutoshe tu Nina MBA
Si utoe huo ushahid mbona mboyoyo mingi sana..?Mwambie atoe cheti..hana..aliingia kimagumashi CBE..Nina ushahidi 100% msinibishie
Mwambie atoe cheti..hana..aliingia kimagumashi CBE..Nina ushahidi 100% msinibishie