cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,749
- 189,141
😂😂😂😂Oya nyie yanga hatukatai kumweka mtu wenu lakini asiwe na Zero. Tutaftieni mwingine tu
😂😂😂😂Oya nyie yanga hatukatai kumweka mtu wenu lakini asiwe na Zero. Tutaftieni mwingine tu
Yuko vizuri.Ali mayai tembele alisoma ununio Islamic seminary.
Alipata sifur A LEVEL
Akaenda kusoma CBE Kwa matokeo ya O LEVEL na kujiendeleza zaidi
Sasa ana masters ya BUSINESS ADMINISTRATION toka mzumbe
Anatokea familia ya wana TISS. alisoma shule moja na saidi mtanda (Rc mwanza) mwana FA na Bashe. Sina hakika kama alijiunga na TISS au la lakini uwezekano ni mkubwa. Itakuwa shughuli pevu mana karia nae ni TISSYuko vizuri.
Hiyo kwa traits za nchi hii wala sio tatizo na kikubwa kama hajafoji vyeti.Ali mayai tembele alisoma ununio Islamic seminary.
Alipata sifur A LEVEL
Akaenda kusoma CBE Kwa matokeo ya O LEVEL na kujiendeleza zaidi
Sasa ana masters ya BUSINESS ADMINISTRATION toka mzumbe
Ila siasa bhana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Nikimjua vizuri yeye Ali..kwa maana tukiishi jirani kabisa..na mama yake mzazi Ali pale Dodoma kuna sehem alipata 0..kama sio form 4 basi 6..
Yeya alikuwa akisomea secondary dar es salaam.. Makongo sijui makongo..sasa ataweza kweli kuongoza TFF??
Mkibisha hii naleta jingine.
Mhasibu wa wa serikali Karia huyo sina shaka naye na huo upande mwingine. Kiuhalisia kuna nafasi kwenye taasisi sio za mtu ilimradi mtu.Anatokea familia ya wana TISS. alisoma shule moja na saidi mtanda (Rc mwanza) mwana FA na Bashe. Sina hakika kama alijiunga na TISS au la lakini uwezekano ni mkubwa. Itakuwa shughuli pevu mana karia nae ni TISS
Dedication, in its core meaning, signifies a deep commitment and devotion to a cause, person, or task. It implies a strong sense of loyalty and purpose, often involving significant time, energy, and effortKwa nini usingeandika tu kiswahili?? Kudedicate muda kwenye soka ndo kufanyaje?? Neno dedication limeingiaje ktk sentensi yako??
NimejiquoteAlipata zero...so whaat? Haituhusu sisi..maana tunachoangalia sio matokeo ya mwisho wa masomo..tunaangalia matokeo ya kila siku ya kazi zake....na kwasababu hiyo yeye ndio mgombea mshindi wetu....
Anatokea familia ya wana TISS. alisoma shule moja na saidi mtanda (Rc mwanza) mwana FA na Bashe. Sina hakika kama alijiunga na TISS au la lakini uwezekano ni mkubwa. Itakuwa shughuli pevu mana karia nae ni TISS
Alisoma A-level Jitegemee Secondary School na alimaliza mwaka 1999Nikimjua vizuri yeye Ali..kwa maana tukiishi jirani kabisa..na mama yake mzazi Ali pale Dodoma kuna sehem alipata 0..kama sio form 4 basi 6..
Yeya alikuwa akisomea secondary dar es salaam.. Makongo sijui makongo..sasa ataweza kweli kuongoza TFF??
Mkibisha hii naleta jingine.