kumbe wewe upo kushangaa picha!
kila siku nasema ccm ni chama cha wapumbavu..
Mtakamatwa sana mwaka huu msipojifunza utii wa sheria bila ya shuruti
hahaa, mkuu mbona unaongea kinyume? Mimi siyo shabiki wa chama chote cha siasa ila uliyoyaandika ni ya chademamambo ya ajabu kabisa haya ktk nchi inyodai ni ya demokrasia.
Ccm siasa za majukwaa na hoja zimewashinda, mmebaki kutumia ugaidi na vyombi vya dola kuendelea kutawala.
Ila hakika nguvu hii hii mnayotumia kutawala kwa mabavu na uonevu, ndio bomu litakalowang'oa na kuwfanya chama cha upinzani 2015
maelezo ya mtoa mada tu yanatosha kuambiwa hivyomkuu na wewe ulikuwepo kwenye msafara wa kigodoro cha chama?
Poleni viongozi wa CDM. Yours is a redemptive suffering.
Ni miaka mingi ccm inajiongezea kuchukiwa kutokana na vitendo vyao vya kijambazi.
Kwenye orodha ya makosa ya jinai Tanzania liko linaloitwa "kuingilia mbio za mwenge wa Uhuru"?
CCM is a den if vipers. I said that before and I will say it again.
Wananchi hatujawapuuza chadema, tafadhali tunaomba usitusemee. Tabia hizi hata wabunge wenu wanazo sana. Utasikia wakisema eti 'wananchi wa jimboni kwangu wamenituma'' wakati jimbonichadema umaarufu wenu umebaki kwenye matukio kama hayo, wananchi wameshawapuuza
Ulichofanya Mungi ni propaganda za kipumbavu kuweza kufanywa humu JF
LizaboniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiUlichofanya Mungi ni propaganda za kipumbavu kuweza kufanywa humu JF
Bananga kajambazi kama lema hiyo pia ndiyo sababu mojawapo iliyofanya afukuzwe ccm jamaa mwizi balaa acha polisi washugurike naye.