Huyo Ally Bananga ni mdudu gan?
Ni bwana wa mama yako!
Huyo Ally Bananga ni mdudu gan?
Wananchi hatujawapuuza chadema, tafadhali tunaomba usitusemee. Tabia hizi hata wabunge wenu wanazo sana. Utasikia wakisema eti 'wananchi wa jimboni kwangu wamenituma'' wakati jimboni
ana miaka miwili hajakanyaga. Ongea na nafsi yako na si wananchi, kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe mbele za Mungu.
Lizaboniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Wakati mwingine pima hoja kwanza.
- Bananga alikuwa safarini?
- Bananga alikutana na mbio za Mwenge?
- Bananga alikutana wapi na mbio za mwenge?
Teh teh teh naona umeamua kukiweka uchi Saccoss yenu mkuu!
1. Ufisadi muulize Dj na nyumba na NHC pia Padri na nyumba na NHC hela ya ruzuku analipa deni
2.Magaidi muulize Lwakatare Ben Saa8, Mallya
3.Manafiki muulize Tundu Lisu
4.Majuha ni kuulize wewe
Bananga jambazi tu kama masour
Jambazi anatembea barabarani wakti kuna vikosi vya ulinzi na usalama?Bananga jambazi tu kama masour
Nikoboko Yenu nyie Wachimia Tumbo wa Lumumba
Ni bwana wa mama yako!
Wakuu,
Siku zote tunatambua kwamba tunaongozwa kwa sheria na kanuni katika maeneo yote yanayohusu maisha ya kila siku
Zipo sheria ambazo zimewekwa mfano sheria za barabarani (traffic regulation act) za nchi yetu, ambayo kimsingi ikithibitika zimevunjwa moja kwa moja anayeingia hatiani ni mtumiaji wa chombo yaani Dereva, na wala siyo abiria.
Kwa wasiojua leo kulikuwa na msafara wa mbio za mwenge Korogwe, kamanda Ally Bananga naye alikuwa Korogwe, wakati anatoka Korogwe na gari lake lililokuwa linaendeshwa na Dereva Daudi Kilo, walikutana na msafara wa Mwenge wakaupisha mpaka ukaisha, wakaendelea na safari yao kama kawaida baada ya kuruhusiwa na traffic.
Chakushangaza magari mawili ya ccm yakawa yanawakimbiza kwa nyuma, hawakujua sababu ya wao kuwakimbiza, na kwakuwa waliwaona wao walichokifanya ni kuongeza kasi, maana walijua kuwa kwakuwa gari lao lina mabendera ya chadema itakuwa imewaumiza roho ccm wanaosumbuliwa na homa kali ya UKAWA, wakajua wanataka kuwadhuru kwa tindikali au ugaidi wa aina yoyote ile.
Baada ya magari ya ccm kushindwa kuwakamata akina Ally Bananga, ccm wakaaamua kupiga simu polisi wawakamate Bananga na Dereva wake kwa kuingilia msafara wa Mwenge. Kilichotokea ni kwamba gari la Bananga lilizuiwa na polisi Hedaru, wakafunguliwa kesi ya kuingilia msafara wa Mwenge. Wakati wanaendelea kushangaa kilichotokea, ghafla maccm yakaingizana Hedaru,vwakawaamrisha polisi kuwaweka ndani Bananga na Dereva wake Daudi Kilo kwa kosa la barabarani (traffic offense), na wamenyimwa dhamana. Hivi ninavyoandika hapa, kinacholeta utata zaidi ni kwamba kuna mawasiliano yanafanyika ya kipolisi wakishirikiana na ccm kuwapeleka Bananga na Kilo Same badala ya kuwapeleka Korogwe ambapo wanapodai ndiyo kosa limefanyika.
Tukio la kukamatwa Bananga limethibitishwa na kamanda wa polisi kilimanjaro Robert Boaz
Tunajiuliza: hata kama kungelikuwa na kosa, Bananga anaingiaje wakati yeye alikuwa haendeshi?
Tunajiuliza: Kama kosa lilufanyika Korogwe kwanini wanapelekwa Same kulikoni?
CCM watambue tunawafahamu kuanzia kuchani mpaka unywele, hatutarudi nyuma hata muwatumie dola kwa hila ya namna gani, mapambano yataendelea mpaka kieleweke.
Tunajua hivi sasa maccm yanahaha na kuihofu chadema kuliko hata homa ya ebola, kwakuwa tu chadema imekubalika na watanzania nchi nzima.
Tutaendelea kuwajuza kila kitakachojiri......
Vigezo gani vimetumika kujua kama ccm wanataka guwamwagia tindikali?
Teh teh teh naona umeamua kukiweka uchi Saccoss yenu mkuu!
1. Ufisadi muulize Dj na nyumba na NHC pia Padri na nyumba na NHC hela ya ruzuku analipa deni
2.Magaidi muulize Lwakatare Ben Saa8, Mallya
3.Manafiki muulize Tundu Lisu
4.Majuha ni kuulize wewe