we kasie una sifa za uganga wa jadi Papuchi zote huwa nakula bure they always prefer mjegejo wanguHahahahahahaaa catch yaaah hehehehehehehee haya mahaba mema na wako wa ubani.
Hahahahahahaaa weeeh sidanganyiki ng'oo inapokuja swala la Daby wangu, amarula na wine zote zinaisha kichwani.....
Le Mahabat wangu Daby ana provide kila kitu kuanzia utosini hadi unyayoni.....
Kasie yuko na Daby.. hadanganyiki ng'oo...
You look so sweet....Kwanza ni Alhamis na sio Akhamisi....
Mechi ya timu za S.A.
Any other question.. ..
Naona haujanifahamu uzuri ivooo. Mie namshikia Tu hadi atakaporudi. Swahiba wangu yule hantilii wivu. Huyo Allen ataharibu interview!!!!!
we kasie una sifa za uganga wa jadi Papuchi zote huwa nakula bure they always prefer mjegejo wangu
hahahaha
Daby mpenz swahiba wako anasema na yeye anataka kushikilia masikio sijui mabega.....
Mie hata simuelewi.... labda uongee nae kimasai.
Sam, nampenda sana Daby maana ananijua fika, Daby ndo kila kitu kwa Kasie.
Yaani unamtapeli swahiba wangu hadharani? Unakiri unampenda huku unammwagia sifa kedekede Allen, inaniuma saaaaana!....nikifikiriaaaa huwaga ninaliaaaa. Hahahahaa
Hahahaaaaa nilitaka kusema hivi....... ila nikaghairi
Wewe wamjua fika swahiba wako, nami Daby ananijua vyema basi Le Mahabat Daby na Kasie ndo mpango mzima.
Acha nikae pembeeni kuepusha msongamnooo. Kama mnajuana basi swahiba huku anatupa version tofauti sana..sio hii unayotuonyesha hapa kwamba it doesnt metter where you get your appetite but you will always eat at home.
Alafu mimi huwa nawadrive vizuri single mothers they are real hakuna kujing'ata menoPole sana kwa kutapeliwa... wamekuibia shilingi ngapi....
Siku nyingine usiwaamini sana strangers hata wakulambishe asali hehehehehehehhee
Alafu mimi huwa nawadrive vizuri single mothers they are real hakuna kujing'ata meno
We queen uliaga au muda badoI hate this man hata shetani anajua
Mxiueeeee
Haujanijibu kule pHommie tulindiane bwana maana wote watakuja nyumbani.
Got itHaujanijibu kule p