Allen and Kasie....

Sawa shemela...

Msalimie Daby naona bado hajaamka

Hehehehehee mi naogopa kuitana shemeji sijui shemela wanasemaga inaliwagaa.....

Salamu zimefika, ameshaamka ila majukumu yamemkamata, akimalizana nayo atakuja hapa.
 
Jamani mbona mnamsumbua Daby? Niliwaambia yuko kwenye special task ya uchaguzi wa Kenya, once uchaguzi umeisha mtamuona.

Japo pia haimzuii akipata wasaa mtamuona niko nae bennet bega kwa bega bamper to bamper ...

Sasa kwa kuwa Daby ni swahiba wangu, naruhusiwa kumshikia nafasi yake kwa hichi kipindi chote atakapokuwa kwenye special task? Huyu Allen atatupeperushia njiwa wetu ati!
 
Sasa kwa kuwa Daby ni swahiba wangu, naruhusiwa kumshikia nafasi yake kwa hichi kipindi chote atakapokuwa kwenye special task? Huyu Allen atatupeperushia njiwa wetu ati!

Hahahahahahaaa weeeh sidanganyiki ng'oo inapokuja swala la Daby wangu, amarula na wine zote zinaisha kichwani.....
Le Mahabat wangu Daby ana provide kila kitu kuanzia utosini hadi unyayoni.....

Kasie yuko na Daby.. hadanganyiki ng'oo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom