Natongozwa
hivi .............................
hivi .............................
Mdogo wangu amkia wakubwa... mbona leo sikumbuki kupishana na wewe koridoni? lol
dada mkubwa shkamoo. unajua asbh hii ndio navuta stimu ya kuandaa scheme of work. mzima wewe?
in a relationship with('x')while sleeping with('y') and spending z's cash....
Marhaba' mie mzima kabisaa... Hofu na mashaka kwako maana ninajua una kazi nzito! lol, Nikutakie kazi njema basi...
....and hunting others as well.
Ungemalizia hivyo
Yaani pamoja na ulivyo player wa kucheza na x, y & z still they hunt you!!!?They hunt me....