ALL JF Members: WRITE DOWN HERE YOUR MARITAL STATUS.

Hivi sensa bado haijaisha tu? Mkimaliza marital status muanze kutaja idadi ya watoto na wategemezi. Ngoja niongeze notebooks.
 
Kwani makarani hawahesabiwi? Hebu ujiseme hapa manake nakuonaga unamgongea likes my huzbend, ntakunyonyoa manyoya ya mwilini na kichwani wewe! Ohooo!
Mie ndio karani wa hii sensa namsaidia bampami. Makarani tunatiririka mwishoni kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom