KOKUTONA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 8,649
- 6,088
mmmh, kumbe wee ni 'edible fruit?'
Edible fruit, ooh Ghosh.
mmmh, kumbe wee ni 'edible fruit?'
Hahahaha kumbe Pinda mlishaachana eeh?
Hahahaha kumbe Pinda mlishaachana eeh?
Kitambo,
akahamia kwa Tunnu.
Duh! Lazima ahame shosti, maana ulikuwa huna hata muda wa kumtazama usoni kutwa wewe na key board tu.
Jina lote hilo la mtu mmoja?
Afu Le mutuz siku hizi anayo lokesheni bana......ameamua kujituliza kwa baba!
Mjane!!!
Mie ndio karani wa hii sensa namsaidia bampami. Makarani tunatiririka mwishoni kabisa.