Unatumia model gani mkuu?Star x kiboko..
Natumia hiyo, ni kali sanaHii brand ya star x msiichukulie poa, south africa huwambii kitu juu ya hii brand
Ubora wa picha ziko safi sana, ukinunua star x jitahidi upate ile yenye mark ya masadubai.
shukrani
Mkuu hiyo mark ya masadubai ndo model gani?Natumia hiyo, ni kali sana
Ni led ya kawaida 32inch na 43inc zote nilizipenda zina mng'ao zaidi kuliko tv zote,shida ni hiyo kuchagua format.
Sijajua kwa smart tv kama tatizo lipo pia.
Unatumia model gani mkuu?
Natumia hiyo, ni kali sana
Mkuu hii flat yako nzuri sana sio kam hiyo michina... nimeipenda kwanza ina Sound by Harman kardon,hawa jamaa wanajulikana kwa sound takatifuuMkuu nisaidie kuichambua hii plz lc 32hi5332kf ni sharp TV nijue kama nina bomu au tv
Asante mkuu niliiinunua mtumba toka kwa jamaa mmoja ina features nyingi San ni smart pia jetunafanyaje au nisearch vipi kupata rimoti yake boss wangu na pia nikiingia YouTube nashindwa kuendelea kuitumia inaniomba no sign in na sina rimoti. Pia ninapojaribu kuicontroll kupitia simu ir blaster nikisearch siipati .Niiseti vipi ili picha ziwe clear kabisa natumia nyaya za av Tu decoda yangu n mbovuMkuu hii flat yako nzuri sana sio kam hiyo michina... nimeipenda kwanza ina Sound by Harman kardon,hawa jamaa wanajulikana kwa sound takatifuu
Pia Ace engine pro yao inafanya upate picha nzuri...
Starx hawezi kua na harman kardon miaka 1000...
Hii 4k means??Evvoli ni waitaliano na ukisoma matoleo yao wanaonekana wapo vizuri tu wana TV za 4k, functionalities kama ARC na CEC n.k
Hii 4k means??
Bajeti yangu ni tv za kichina mkuu nikijipinda kununua Samsung, sony, au LG nitakosa pesa ya kula mwezi mzima!Mkuu jichange tu ukadake LG
Nilijua unaikumbuka exactly model no
Anyway na kwasasa mtu akitaka flat,hizi LED za kawaida sio fashion tena zmekua za zawaida sasa kutokana na tech iliyopo sokon...
Saiz si unaona QLED na OLED zinavyo run soko..sasa hapa ndipo Star x inakopigwa gap,au kuna star x yenye hizo panel?
Alafu shida nyingine hao wachina hata uki search Google model zao hakuna specifications za wazi,inakua ngumu hata kufanya comparison..ndiomana nazidi kuiditch hizi starx , yani hadi wao wenyewe starx hawajui specifications zao
Imagine model zao zingekua wazi,tusingeanza bishana hapa jukwani juu ya ubora wao...mchina aliewazi Ni TCL
Mimi nilikutana na Star x,yani ukikaa na ukisimama picha ni tofaut, hapa viewing angle mbovu kweli...
Mkuu hiyo mark ya masadubai ndo model gani?
Una specifications zake?
Ahaa ahsante kwa maelezoHizi tv mara kwanza zinaingia hapo mjini, zilikuwa na ufito wa gold kwa chini
na ukiiwasha ile logo ya star x ina maandishi ya rangi nyekundu. kwa chini yake kulia yanatokea maandishi ya masadubai.
Watoto wa aggrey kkoo wakafanya yao hapo mjini uchina, maandishi yake ni meupe na picha yake ina shedo's haiko clear.
Mkuu umepiga picha ukiwa unatetemeka.
Mkuu umepiga picha ukiwa unatetemeka.
Mkubwa
Pole sana, nashawishika kukwambia kwamba ulitumia star x feki ambayo watoto wa mjini wamefyatua hapo Guanzuuu.
Ukiipata ile yenyewe utaleta hizi story hapa.