CEYLON
JF-Expert Member
- Dec 3, 2012
- 282
- 101
Nauza tv star x inchi 43 kwa bei tajwa.Tv hii ni smart kama unavyoiona na ipo Tegeta Dsm.Ni tv yangu halali,nilinunua dukani, ina box na vitu vyake vyote.risit ninayo. Maongezi kidogo yapo.
Kwa anayehitaji tupeane namba inbox.
Karibu
Kwa anayehitaji tupeane namba inbox.
Karibu