Aliyetoroka karantini akamatwa Iringa

Aliyetoroka karantini akamatwa Iringa

Yaani mwanao, mtoto mdogo asiye na hatia 13years old ameuliwa kwa Risasi bila huruma halafu jamaa anakwambua samahani, seriously?
Na pia suala la police brutality kenya ni Kila mwaka, uchaguzi ulipita chini ya Rais mstaarabu police waliua Wakenya wasio na hatia 120 tu, achilia ule mwingine wa watu zaidi ya 2000.

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu kitu ambacho hakijui, policia brutality haijaanza leo kule Kenya na wala haitoisha leo,
Samahani inasaidia nini?
Samahani inasaidia nini wakati policia brutality bado ipo!
Yaani ni sawa na unifanyie kosa halafu uje uniombe msamaha halafu baadae uje urudie tena kufanya Kosa lile lile 😂
 
Angekuwa IGP, hahaha, hata ungekuwa wewe, wale waumini wa Kanisa mchungaji wao aliitwa kituo cha polisi wao wote kanisa zima wakaenda kituo cha polisi kupiga mapambio, of course polisi wetu nao kuna wakati wanavuka mipaka ila sio kuua watu hovyohovyo mpaka wanafika idadi ya 100 kama uchaguzi uliopita hapo kenya.
Of course walichokifanya polisi kwetu ni ujinga na hadi sasa kuna polisi wamekamatwa kadhaa na muda wowote watafunguliwa mashtaka, bado wanasakwa, video zinafanyiwa analysis na kukaguliwa.
Sema hutaona tukisifia ujinga kama huo wa mapolisi kwetu, tulipiga makelele hadi rais akajikuta anaomba msamaha ila kwenu mkipiga makelele kwa ukatili wa polisi huwa naskia viongozi wenu wakisema wanatamani wangekua IGP.
Nyie naona Maccm kwa hili la Makonda mnasifia alichokifanya huku mkijificha kwenye kauli za "tusitishane", ujinga uliokubuhu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyo mama akikutwa na maambukizi afunguliwe mashtaka na apewe kesi ya uhujumu uchumi na kuuwa kwa kukusudia
 
Yaani mwanao, mtoto mdogo asiye na hatia 13years old ameuliwa kwa Risasi bila huruma halafu jamaa anakwambua samahani, seriously?
Na pia suala la police brutality kenya ni Kila mwaka, uchaguzi ulipita chini ya Rais mstaarabu police waliua Wakenya wasio na hatia 120 tu, achilia ule mwingine wa watu zaidi ya 2000.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wako busy na media yao humu kunyooshea vidole kasoro za hatua za serikali ya Tanzania kama kawaida huku covid-19 patients above 110!


#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
 
Ungejiita kilaza tu, maana umeandika pumba sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sisi tu ndio tunafanya mambo tofauti na ushauri wa direction za WHO

https://www.who.int/docs/default-so...prevent-community-trans.pdf?sfvrsn=1bc12565_4

Kila nchi imechukua huo ushauri wa karantuni ya nyumbani na kuja na version zao, zipo luluki in-line na who recommendation sema zenyewe zina nyongeza kwa mtazamo wa watalaamu wa nchi husika kutokana na utamaduni wao wa majumbani.
 
Kwa kweli alichokifanya Makonda ni Upuuzi, shida yake ni uwezo wake wa Kung'amua Mambo, lakini pia kwa upande wa Kenya Polisi kukimbiza na kugawa kipigo mamia ya raia na kuua watu kwa risasi kisa Corona ni Ujuha wa hali ya juu,
Imagine mmekimbizwa na kupigwa teagas, huku mkiwa mnahema na kulia na kukohoa hovyo mnakusanywa pamoja mamia kwa mamia kama hivi, Ni wazi Kenya common sense hamna kabisaView attachment 1407361

Sent using Jamii Forums mobile app
Umekoma umama wewe mkenya jinga kutwa unafuatilia habari za Tanzania udhani nchi yako.

Rudi ujibu hoja...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angekuwa IGP, hahaha, hata ungekuwa wewe, wale waumini wa Kanisa mchungaji wao aliitwa kituo cha polisi wao wote kanisa zima wakaenda kituo cha polisi kupiga mapambio, of course polisi wetu nao kuna wakati wanavuka mipaka ila sio kuua watu hovyohovyo mpaka wanafika idadi ya 100 kama uchaguzi uliopita hapo kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Meanwhile all the slums in Nairobi have no water and ukunya unaendelea ku-concentrate na what Tanzania does

Coronavirus kills two more in Kenya as cases rise to 110
 
Before hajaja serekal ilisha tangaza atakae rud bongo atakaa karantin kwa garama zake alafu yeye na umaku wake anakuja anaifadhiwa sehemu anatotoka ivi Kama anakorona atakua kaambukiza wangap huu usenge alio fanya zingekua nchi zenye akil Kama zangu uyu asinge kua Tena binadam kamil
Siwezi kulaumu mtu anaetoroka, hivi unawezaje kumpangia mtu sehemu ya kukaa halafu alipie kwa mfuko wake? wanajuaje kama watu wanaweza mudu hizo gharama za kukaa hoteli.

Isitoshe sehemu ambazo wanatakiwa kufikia watoa huduma udhani kama wapo trained ku deal na namna ya ku limit maambukizi kwenye maeneo yao ya kazi iwapo kuna mtu analogonjwa humo (nina uhakika wahudumu watakuwa wanaingiza vyakula mpaka vyumbani, badala ya kugonga na kuacha milangoni) if anything hizo sehemu zilizotengwa zinaweza kuwa infection centres za baadae kama bado hotel zenyewe zinatoa huduma na kwa raia wengine.

Quarantine mtu anaweza kukaa ata nyumbani kwake na familia yake kuna masharti tu ya kuishi ndani ya nyumba ambayo yeye na familia lazima waheshimu.

Wewe unamwambia mtu akakae hoteli wakati ulipi bill iweje, yaani watu aisee. Ubunifu zero.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angekuwa IGP, hahaha, hata ungekuwa wewe, wale waumini wa Kanisa mchungaji wao aliitwa kituo cha polisi wao wote kanisa zima wakaenda kituo cha polisi kupiga mapambio, of course polisi wetu nao kuna wakati wanavuka mipaka ila sio kuua watu hovyohovyo mpaka wanafika idadi ya 100 kama uchaguzi uliopita hapo kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sio kwamba natetea ukatili wa polisi wetu, ila polisi wenu hawajawahi kuwa tested, huwa wanawafanyia ukatili bila wananchi kuwachokoza, maana desturi ya Watanzania ni waoga, mkiitwa mfanye maandamano nchi yote, inakua maandamano ya polisi wenyewe maana barabara zote hutakuta raia hata mmoja, ila kwetu hapa ukiita maandamano, polisi hulemewa na mzuka wa Kikenya, full nyomi ya watu zaidi ya laki wote wakiimba nyimbo za ukombozi na inatendeka kote.
 
Siwezi kulaumu mtu anaetoroka, hivi unawezaje kumpangia mtu sehemu ya kukaa halafu alipie kwa mfuko wake? wanajuaje kama watu wanaweza mudu hizo gharama za kukaa hoteli.

Isitoshe sehemu ambazo wanatakiwa kufikia watoa huduma udhani kama wapo trained ku deal na namna ya ku limit maambukizi kwenye maeneo yao ya kazi iwapo kuna mtu analogonjwa humo (nina uhakika wahudumu watakuwa wanaingiza vyakula mpaka vyumbani, badala ya kugonga na kuacha milangoni) if anything hizo sehemu zilizotengwa zinaweza kuwa infection centres za baadae kama bado hotel zenyewe zinatoa huduma na kwa raia wengine.

Quarantine mtu anaweza kukaa ata nyumbani kwake na familia yake kuna masharti tu ya kuishi ndani ya nyumba ambayo yeye na familia lazima waheshimu.

Wewe unamwambia mtu akakae hoteli wakati ulipi bill iweje, yaani watu aisee. Ubunifu zero.
Lakin serikali ilitangaza kuwa wakitoka nje watajigharamia gharama za karantin nibukaidi wao mi niseme tuu serikali iongeze ulinzi tuuu
 
Lakin serikali ilitangaza kuwa wakitoka nje watajigharamia gharama za karantin nibukaidi wao mi niseme tuu serikali iongeze ulinzi tuuu
Kurudi Tanzania ni haki ya kila raia, kutokea nchi zilizoathirika aina maana watu wote wanarudi na virus.

Kwenye hatua za kupunguza risk za kuingiza ugonjwa nchini swala la kukaa quarantine kwa wiki mbili ni sahihi kabisa mtu atake asitake na jela juu ikibidi kwa wakaidi.

Lakini aina maana lazima watu wakalie huo muda wote hotelini kwa gharama zao wakati wana makwao.

Jitihada za nyongeza zinahitajika kwenye kutoa elimu ya umma kwa medium mbalimbali likiwamo swala la karantini za nyumbani.
 
CORONA ITATUVURUGA VICHWA MWAKA HUU 😳 😳 😳😳 KU DEAL NA CORONA NI KAMA UNADEAL NA GAIDI IFIKIE RAIS ATOE AMRI KAMA KUUA TU KWA SUMU
 
Back
Top Bottom