Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,946
- 38,656
Rais aliyeapishwa na jeshi lililomsaidia kuiba kura, ndiye aliyetoa amri kutangazwa kwa hali ya hatari iliyopelekea mauaji ya raia zaidi ya 10,000. Ameunda tume anayoìtuma kuchunguza mauaji hayo.
Aliyekuwa Waziri wa Afya ambaye alikuwa mbunge wa Peramiho amekufa katika mazingira tatanishi. Inasemekana mwenyeji wa (vi)Tunguu aliidhinisha operesheni code ZERO ili kuondoa possibilities za ushahidi kuendelea kupenyezwa kunako husika. Pia amekasimu madaraka ya Afya kwa mkwewe mwenye kifua kipana ili kudhibiti ushahidi wa maiti kupokelewa monchwari na majeruhi wa Mo29+ kuzikwa wakiwa hai.
Tume aliyoiteua imeanza kazi huku ikituhumiwa kukamatisha wanaotoa taarifa za ukatili uliofanywa na vyombo vya dola. Polisi, jeshi na Usalama wameungana kusaliti viapo vyao vya kulinda mipaka ya nchi na usalama wa ndani na kujiunga kumtetea mwivi wa maliasili za taifa na mtesi wa wananchi wanaomkosoa, mqjeshi yetu wanachokifanya mpaka unaposoma uzi huu ni kuteka, kutesa, kufira hata kuua raia wanaoonekana kumpinga sponsor wao.
Akiizindua tume hiyo ya kiBOZO, ameielekeza kuandaa taarifa inayojumuisha yafuatayo
Kila mtu atachanganyikiwa kwa wakati wake.....
Aliyekuwa Waziri wa Afya ambaye alikuwa mbunge wa Peramiho amekufa katika mazingira tatanishi. Inasemekana mwenyeji wa (vi)Tunguu aliidhinisha operesheni code ZERO ili kuondoa possibilities za ushahidi kuendelea kupenyezwa kunako husika. Pia amekasimu madaraka ya Afya kwa mkwewe mwenye kifua kipana ili kudhibiti ushahidi wa maiti kupokelewa monchwari na majeruhi wa Mo29+ kuzikwa wakiwa hai.
Tume aliyoiteua imeanza kazi huku ikituhumiwa kukamatisha wanaotoa taarifa za ukatili uliofanywa na vyombo vya dola. Polisi, jeshi na Usalama wameungana kusaliti viapo vyao vya kulinda mipaka ya nchi na usalama wa ndani na kujiunga kumtetea mwivi wa maliasili za taifa na mtesi wa wananchi wanaomkosoa, mqjeshi yetu wanachokifanya mpaka unaposoma uzi huu ni kuteka, kutesa, kufira hata kuua raia wanaoonekana kumpinga sponsor wao.
Akiizindua tume hiyo ya kiBOZO, ameielekeza kuandaa taarifa inayojumuisha yafuatayo
- Waandamanaji wamepokea pesa kutoka abroad ili washawishike kuandamana
- Waandamanaji kutoka nje ya nchi kuingia nchini kuchochea vurugu
- Na mambo yanayofanania na hoja hizo mbili
- Idadi ya waliouawa
- Wahusika wa mauaji hayo
- Majeruhi na hali zao kwa sasa
- Makaburi ya halaiki ambayo wamezikwa maiti waliouawa chini ya amri ya Chura binti Kiziwi.
- Ibara za Katiba na sheria zilizokiukwa na watekelezaji wa mauaji hayo
- Amri ya kupiga risasi raia mpaka majumbani kwao ilitolewa na nani
- Aliyetoa amri kuzima mtandao wa internet
- Matendo ya ubakaji, ufiraji na utesaji wa raia majumbani kwao uliofanywa na vikosi vya majeshi yetu
Kila mtu atachanganyikiwa kwa wakati wake.....