MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 4,842
- 15,149
Special Promotion, Sponsored by Wafadhili wa JF. #UsishangaeniklabanHizi nyuzi za LGBT zimekuwa nyingi humu Jamvini. Nini kinaendelea?
Special Promotion, Sponsored by Wafadhili wa JF. #UsishangaeniklabanHizi nyuzi za LGBT zimekuwa nyingi humu Jamvini. Nini kinaendelea?
baada ya kupitia hiyo link, nimegundua ni yeye mwenyewe.Nikisoma huu Uzi hapa Natafuta Mpenzi asiyependa Ngono
Napata majibu kuwa huyu ni wewe ka bisa. Kipengele Cha umri ndio kinamaliza ubishi wote
Hata ipunguzw tu mwendo wengi wataruka.dunia simama niruke
vip kuhusu Hisia zake za kimwili ana kaushaje nazo na anakula na ana afya nzuri?? je anastahili kujitesa kwa kujidunga sindano za kuondoa hisia za kimwili ana uantakiwa aishije?Hiyo haijustify yeye kuwa shoga,jiulize kwani hakuna binadamu wenye hitilafu hizi na wamekubali kasoro zao na wamejikausha tu hawajishughulishi kivyovyote vile na mapenzi ya aina yoyote ile,yaani hawaingiliwi kinyume na maumbile??
Inatakiwa ajikubali tu kuwa ni mlemavu na asiliwe kinyume na maumbile ,hivyo tu
So kaka nimekuelewa fresh unataka wauliwe ili watoto wako waishi fresh?? Kwamba wao ndio wenye zambi kuliko walevi, wauwaji, washirikina, wachawi, waganga, na wazinzi?? kwamba zambi ya kusema uongo ni ndogo kuliko ya kuzini kinyume na maumbile? kwamba zambia ya kuzini wanaume kwa wanawake wasio wao ni ndogo kuliko ya aliye zaliwa na hitilafu ya kimaumbile na kushindwa kucontrol hisa zake?? Kwamba wewe ni mtakatifu sana hunandhambi uliyo kwisha wahi ifanya maishani mwako kwahiyo una taka wauliwe ili watoto wako wasiwaone?Nikiwa Kama jasusi aliyebobea katika maswala ya ushambuliaji na kubadilisha ubongo kwa njia ya saikolojia,. Naweza kusema hapa lengo lako ni kuwafanya watu waamini ushoga ni ulemavu tu na tuwapokee kwenye jamii na mwisho tusithubutu kuwatenga.
Bro acha kupotosha jamiii, ushoga sio jambo la kulifurahia kabisa, yawezekana sisi tusiathirike kwa kuishi nao Ila watoto wetu wanaweza wasipone hata kidogo
Itafika mahari mtu utataman usizae mtoto wa kiume kwa kuogopa mambo Kama hayo
Ingependeza zaid ungebold sehem niliyoandika wauwawe.So kaka nimekuelewa fresh unataka wauliwe ili watoto wako waishi fresh?? Kwamba wao ndio wenye zambi kuliko walevi, wauwaji, washirikina, wachawi, waganga, na wazinzi?? kwamba zambi ya kusema uongo ni ndogo kuliko ya kuzini kinyume na maumbile? kwamba zambia ya kuzini wanaume kwa wanawake wasio wao ni ndogo kuliko ya aliye zaliwa na hitilafu ya kimaumbile na kushindwa kucontrol hisa zake?? Kwamba wewe ni mtakatifu sana hunandhambi uliyo kwisha wahi ifanya maishani mwako kwahiyo una taka wauliwe ili watoto wako wasiwaone?
Jitafakari uliyo wahi fanya tangu kuzaliwa kwako alafu ulinganishe na kanuni za mungu kama hukuwahi zivunja basi una haki ya kuwaangamiza hao watu, na usiishie kuwaangamiza tu wao uangamize na walio wazaa maana hawakuchagua homorne za kuzaliwa nazo wala hitilafu za kimaumbile bali hao walio wazaa.. na siyo wao tu Ata huyo mkuu aliye wapa pumzi umtafute umuuwe ili tujue wewe una hasira na kizazi cha badaye..
Sio kila hisia ni ya kuiendekezavip kuhusu Hisia zake za kimwili ana kaushaje nazo na anakula na ana afya nzuri?? je anastahili kujitesa kwa kujidunga sindano za kuondoa hisia za kimwili ana uantakiwa aishije?
Read this... View attachment 2045271Lol kwamba Ana uterus na kafanyiwa ,"atrasaundi"mkuu umenichekesha Sana,ungesema tu straight kwamba lengo lako NI kutetea mashoga na kutoa excuse kwa tabia zao ungeeleweka. Madaktari eti hiyo condition ya dogo alosema mtoa mada inaitwaje? nikagoogle niongeze maarifa
Okay sawa Ila sidhani Kama mwanaume kuwa na "womb" ndo inamaanisha automatically anakua shoga no, hiyo ni medical condition tu na huyo dogo pia ni medical condition anayotakiwa kupata msaada wa kiafya hiyo ya ushoga ni tabia tu kajifunza na kujizoesha ndo anataka kuhalalisha.
Lakini kumfira mwanaume hapana,So kaka nimekuelewa fresh unataka wauliwe ili watoto wako waishi fresh?? Kwamba wao ndio wenye zambi kuliko walevi, wauwaji, washirikina, wachawi, waganga, na wazinzi?? kwamba zambi ya kusema uongo ni ndogo kuliko ya kuzini kinyume na maumbile? kwamba zambia ya kuzini wanaume kwa wanawake wasio wao ni ndogo kuliko ya aliye zaliwa na hitilafu ya kimaumbile na kushindwa kucontrol hisa zake?? Kwamba wewe ni mtakatifu sana hunandhambi uliyo kwisha wahi ifanya maishani mwako kwahiyo una taka wauliwe ili watoto wako wasiwaone?
Jitafakari uliyo wahi fanya tangu kuzaliwa kwako alafu ulinganishe na kanuni za mungu kama hukuwahi zivunja basi una haki ya kuwaangamiza hao watu, na usiishie kuwaangamiza tu wao uangamize na walio wazaa maana hawakuchagua homorne za kuzaliwa nazo wala hitilafu za kimaumbile bali hao walio wazaa.. na siyo wao tu Ata huyo mkuu aliye wapa pumzi umtafute umuuwe ili tujue wewe una hasira na kizazi cha badaye..
Uko sahihi mkuu, hata sisi tukiwa wadogo kama 5-7 yrs hivi au chini, tulianza kujaribu mambo ya ngono lakini wazazi walisimama imara na kutupa kichapo ambacho mambo hayo yalikoma. Mtu anazaliwa mzima kabisa lakini anapotezwa na dunia kwa uzembe wa waleziIngependeza zaid ungebold sehem niliyoandika wauwawe.
Amini usiamini kila mwanaume hapa duniani laiti Kama ingetokea amekosa uangalizi mzuri akiwa mdogo basi mtu huyo leo hii angekua shoga (including me)
Mtoto huathirika kisaikolojia kwa kuona na kuskia.
Ushauri wangu wasipewe nafasi ya kujitambulisha wao ni mashoga kwenye jamii na tuone eti ni jambo lakawaida tu
Haya ndio mambo tiss inabidi wayafyeke kabla jamii haijaharibika, kwasababu tunakoelekea siko tulikodhamiria
Mashoga wadhibitiwe wanatuharibia kizazi kijacho
Over
Umejuaje kuwa wanavumilia?? wanayo ishi nyuma ya utawa unayajua?Kuna watu ni watawa(ma sista na mapadri) wao wanawezaje kuzuia hisia zao muda wotee? wew ikushinde hadi upachikwe ukuni huko nyuma?
Huo ni wito, wameitwa. Aliyewaita anawawezesha. sasa sina uhakika kwa waliojiita wenyewe.Kuna watu ni watawa(ma sista na mapadri) wao wanawezaje kuzuia hisia zao muda wotee? wew ikushinde hadi upachikwe ukuni huko nyuma?