Aliyesoma Elimu ya Masafa(ya Mtandao) kama Open University akikutana na waliosoma UDSM, SAUT na Mzumbe anatakiwa Kuchangia lolote?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,548
108,882
Inawezekana vipi 'Wanamume' wameumia Darasani huko UDSM, SAUT na Mzumbe halafu Wewe uliyesoma OUT ( hapo Biafra ) na Kupata Degree ( Shahada ) yako tukikutana Vijiweni uwe na la Kuchangia?

Elimu ya Masafa 'inamheshimisha' Mtu kweli au ndiyo labda 'inamdharaulisha' mbele ya wale Waliohudhuria 'Lecture Sessions' zote kwa miaka Mitatu au Minne na Kupata Bachelors zao walizozihangaikia Darasani huku 'sometimes' wakipata 'Sapu' za Kutosha tu.
 
Vyuo vingi sana vilishabadilisha system ya utoaji elimu na kujumuisha njia ya masafa na inaonekana wanafunzi wanaosoma kwa masafa wanakuwa vizuri zaidi ya hao wanaoshinda campus kumsubiri lecturer aingie kupiga pindi.

University of California, Los Angeles (UCLA)
New York University
University of Maryland
The University of Edinburgh
University of the People
The University of Manchester

etc........

Na hustling ni kali kuliko ya hivyo vyuo ulivyotaja ukiachilia mbali quality ya elimu inayotolewa.
 
Inawezekana vipi 'Wanamume' wameumia Darasani huko UDSM, SAUT na Mzumbe halafu Wewe uliyesoma OUT ( hapo Biafra ) na Kupata Degree ( Shahada ) yako tukikutana Vijiweni uwe na la Kuchangia?

Elimu ya Masafa 'inamheshimisha' Mtu kweli au ndiyo labda 'inamdharaulisha' mbele ya wale Waliohudhuria 'Lecture Sessions' zote kwa miaka Mitatu au Minne na Kupata Bachelors zao walizozihangaikia Darasani huku 'sometimes' wakipata 'Sapu' za Kutosha tu.
Kwanini unapenda kuanzisha threads za kukashifu wenzako? Utashambuliwa na watu wa OUT kwa vile unawakashifu
 
Inawezekana vipi 'Wanamume' wameumia Darasani huko UDSM, SAUT na Mzumbe halafu Wewe uliyesoma OUT ( hapo Biafra ) na Kupata Degree ( Shahada ) yako tukikutana Vijiweni uwe na la Kuchangia?

Elimu ya Masafa 'inamheshimisha' Mtu kweli au ndiyo labda 'inamdharaulisha' mbele ya wale Waliohudhuria 'Lecture Sessions' zote kwa miaka Mitatu au Minne na Kupata Bachelors zao walizozihangaikia Darasani huku 'sometimes' wakipata 'Sapu' za Kutosha tu.

Anaongea vizuri sana, tena anawatoa njeee!! Ukitaka kujua ubora wa elimu ya masafa ya OUT
1. Mitaala ya OUT inasimamiwa na TCU, kuhakikisha ubora unadhingatiwa! Mbona hakifutwi kama ni dhaifu?

2. Wakigraduate mfano LLB wanakwenda Law school na kukimbizana ipasavyo na hao wa conventional!

3. Wahasibu wanaomaliza mafunzo OUT wanapita bodi za uhasibu na kupata CPA na taaluma zinginezo.

4. Interview za serikali au binafsi mnachanganywa wote humo!! Mara nyingi walomaliza OUT hupata kushinda!! Hapo vipi??

5. Unajua kuna wanataaluma nguli wa hivyo vyuo ulivyotaja ambao ni zao la OUT?? Tena wanawafundisha nyie. Au niwataje??

6. OUT ni chuo bora kabisa kwa sasa ni namba moja barani Africa kwa vyuo vinavyotoa elimu masafa miongo mwa mlolongo wa vyuo kutoka mataifa bora kabisa kielimu. Hadi UNISA walikwenda OUT kujifunza??

7. OUT ndiyo taasisi namba moja kwa mwaka 2021 Tanzania kwa matumizi bora ya TEHAMA inayotolewa na tume ya TEHAMA nchini. Hapo UD tupa kule, SUA kanyaga, Mzumbe sogeza vile, tuzo alitoa Mh. Majaliwa huko Arusha.

8. Imepata Recognition certificate kutoka ATU, unawajua hao?? 🤣🤣🤣

Kwa vigezo hivyo, nakuhakikishia kabisa kuwa wanaume wanaomaliza OUT wanapaswa kuheshimiwa. Akisimama mnapaswa mkae chini kwa heshima!! Wenzenu wanapiga nondo kwa malengo na si michezo yenu ya kufuata wanafunzi wakike vyumbani mwao muwakulena kuwapa alama (refer mhadhiri wa UDOM).
 
Mataifa yaliyoendelea yanasoma kwa mtandao na wanafanya vitu vya maana. Na watu wanaosoma kwa mtandao ni very logical kuliko walioshinda wanakariri na kupoteza muda darasani.

Mtandao unakufundisha time management, listening and critical skills kwa wingi kuliko physical classes.
 
Elimu ya online ni ya kisasa zaidi, kuliko sisi tulioenda kushinda chuoni siku nzima. Huenda Genta unaona sifa zile kashikashi za face to face, na sio content. Kadiri nyakati zinavyozidi kusogea, elimu ya online itatumiwa na wengi, kuliko hiyo ya kwenda kuvuta uzee kwenye campus za vyuo.
 
Kuna mwanangu mmoja alipiga masters ya OUT fresh tu na gamba juu, ila cha ajabu baadaye yeye mwenyewe anakwambia haiamini hiyo masters yake na ilimbidi afanye tena admission ya MBA SAUT the guy is serious na hivi ndo anaingia final year. Nimeshangaa sana, huwa najiuliza inakuwa vipi hii!
 
MwanafunzI aliyehitimu OUT ni bora zaidi kuliko UDSM
Anaongea vizuri sana, tena anawatoa njeee!! Ukitaka kujua ubora wa elimu ya masafa ya OUT
1. Mitaala ya OUT inasimamiwa na TCU, kuhakikisha ubora unadhingatiwa! Mbona hakifutwi kama ni dhaifu?

2. Wakigraduate mfano LLB wanakwenda Law school na kukimbizana ipasavyo na hao wa conventional!

3. Wahasibu wanaomaliza mafunzo OUT wanapita bodi za uhasibu na kupata CPA na taaluma zinginezo.

4. Interview za serikali au binafsi mnachanganywa wote humo!! Mara nyingi walomaliza OUT hupata kushinda!! Hapo vipi??

5. Unajua kuna wanataaluma nguli wa hivyo vyuo ulivyotaja ambao ni zao la OUT?? Tena wanawafundisha nyie. Au niwataje??

6. OUT ni chuo bora kabisa kwa sasa ni namba moja barani Africa kwa vyuo vinavyotoa elimu masafa miongo mwa mlolongo wa vyuo kutoka mataifa bora kabisa kielimu. Hadi UNISA walikwenda OUT kujifunza??

7. OUT ndiyo taasisi namba moja kwa mwaka 2021 Tanzania kwa matumizi bora ya TEHAMA inayotolewa na tume ya TEHAMA nchini. Hapo UD tupa kule, SUA kanyaga, Mzumbe sogeza vile, tuzo alitoa Mh. Majaliwa huko Arusha.

8. Imepata Recognition certificate kutoka ATU, unawajua hao??

Kwa vigezo hivyo, nakuhakikishia kabisa kuwa wanaume wanaomaliza OUT wanapaswa kuheshimiwa. Akisimama mnapaswa mkae chini kwa heshima!! Wenzenu wanapiga nondo kwa malengo na si michezo yenu ya kufuata wanafunzi wakike vyumbani mwao muwakulena kuwapa alama (refer mhadhiri wa UDOM).
 
Kuna mwanangu mmoja alipiga masters ya OUT fresh tu na gamba juu, ila cha ajabu baadaye yeye mwenyewe anakwambia haiamini hiyo masters yake na ilimbidi afanye tena admission ya MBA SAUT the guy is serious na hivi ndo anaingia final year. Nimeshangaa sana, huwa najiuliza inakuwa vipi hii!
Mfate mnong'oneza taratibu mwambie hana akili
 
Inawezekana vipi 'Wanamume' wameumia Darasani huko UDSM, SAUT na Mzumbe halafu Wewe uliyesoma OUT ( hapo Biafra ) na Kupata Degree ( Shahada ) yako tukikutana Vijiweni uwe na la Kuchangia?

Elimu ya Masafa 'inamheshimisha' Mtu kweli au ndiyo labda 'inamdharaulisha' mbele ya wale Waliohudhuria 'Lecture Sessions' zote kwa miaka Mitatu au Minne na Kupata Bachelors zao walizozihangaikia Darasani huku 'sometimes' wakipata 'Sapu' za Kutosha tu.
Sasa uko kwenye vijiwe vyenu vya kahawa unataka achangie nini wakati mada zenu zinahusu alkasus
 
Kuna mwanangu mmoja alipiga masters ya OUT fresh tu na gamba juu, ila cha ajabu baadaye yeye mwenyewe anakwambia haiamini hiyo masters yake na ilimbidi afanye tena admission ya MBA SAUT the guy is serious na hivi ndo anaingia final year. Nimeshangaa sana, huwa najiuliza inakuwa vipi hii!
Labda anataka kuwa lecture
 
Back
Top Bottom