Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
mfanano wa mambo bado unanipa hisia kwamba kuna aina fulani ya uendeshaji wa nchi yetu kimafia.
chenge kagonga Bajaji na abiria wawili waliokuwemo kwenye hiyo bajaji ambayo kiuhalisia iliharibika kabisa wakafariki dunia. Lakini mpaka leo sijui kama Dereva wa ilie Bajaji keshapatikana!
Dereva wa bajaji ya Chenge na ile ajali iliyomuua mbatia wako wapi?
chenge kagonga Bajaji na abiria wawili waliokuwemo kwenye hiyo bajaji ambayo kiuhalisia iliharibika kabisa wakafariki dunia. Lakini mpaka leo sijui kama Dereva wa ilie Bajaji keshapatikana!
Dereva wa bajaji ya Chenge na ile ajali iliyomuua mbatia wako wapi?