Donkere91
Senior Member
- May 28, 2016
- 185
- 154
ndizi nzuri sana za mwese na maziwa yapo hapa soko kuu.nyama choma ntaa wa simba.kukaa misengeren kigambon biashara hardware inalipa mana ujezn upo.samak kuhe peleka dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha mkuu unaonekana mkongwe sana mpanda.