Aliyeongoza matokeo kidato cha 4; amshukuru Mungu

Aliyeongoza matokeo kidato cha 4; amshukuru Mungu

acha pumba,kila naposoma thread zako inaonekana hauna elimu..

umenifurahisa nikisoma naniii yako nimetoka kwenu tandika nikakuta lodge imeandikwa

""kuokoka ni lazima guest house""loh nahisi kwenu uko shule ni muhimu zaidi
 
siku mkiamua kusoma na kuacha kushinda vyuoni na kula ndizi za bukoba sio mshale

embu wataalamu wandizi tusaidieni swai alikula aina gani kuna ndizi hadi za kichina jamani

aisee ndugu tuombe ladhi,tokea matoke yawepo hatukosi top ten. Ndizi+lubisi+SENENE unapata MAGEZI.. Bado tuna run tanzania.
 
Unaweza kuangalia div1/2/3 nyingi wamezikimbia
kama hawa
national examinations council of tanzania

csee 2011 examination results​



p0889 twayyibat sem. Centre div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 0 div-iv = 40 fld = 46

Pdidy watendee haki wenzio weka shule zinazoanzia na "S" na siyo "P"
 
Hii ndio seminary yao iliofaulu

national examinations council of tanzania

csee 2011 examination results​



s0252 al-kheir islamic girls seminary div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 2 div-iv = 27 fld = 0

Hapana mkuu kuna shule zao zilizofanya vizuri zaidi mfano hii hapa chini hawana hata zero.

S0671 UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL
DIV-I = 10 DIV-II = 11 DIV-III = 20 DIV-IV = 46 FLD = 0[TABLE="width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 50%"]
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(REGIONWISE)​
[/TD]
[TD="width: 50%"]
12/215​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 50%"]
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(NATIONWISE)​
[/TD]
[TD="width: 50%"]
122/3108​
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Jamani wakristo wanaakili kweli mana seminary zao zinaongoza kila mahari,jamani waislam wenzangu tujitahidi na sisi tuweke mkazo ktk masomo ya dunia.

Ndio! Lakini ngoja turudi toka Ndanda!
 
Kwani unajua mama yake ni kabila gani? What if mamake sio mchagga na pengine yeye ndio kichwa kumshinda baba?Acha kutawaliwa na mfumo dume bandugu..... maana jina 'SWAI' ndilo limekupa kiburi hiki cha kuleta uchagga hapa!!! Ingekuwa kila mwaka ni WACHAGGA ndio vinara hapo ningekuelewa mkuu!!!

Waleeni watoto wenu vyema hiyo ndio siri ya mafanikio wala sio uchagga, upare, uhaya, uhehe nk!!!
Kwanza hongera kwa shemeji zangu
sasa natumaini dunia kama si tanzania wanajua kwanini ttumejzana pale NA SI KWA KUBAHATISHA KAMA WANAVYOTABIRI NA CHAKULA SIO WALI /UGALI BALI ONGEZA NA NDIZI UWE NA AKILI
tra
bandari
ikulu
wizara za serikali
nk
si hicho tu 2015 tunataka kuingiiaaaa ikulu kabisa tushachok a kutomasana tomasana getini ikulu...hii inaonyesha kwamba watanzania wengi wanakubali sasa wachaga awakubahatisha kujazana
sehemu nyeti za serikalini na sasa wamehamia kwenye ngo zinazonuka hela nyingi nyingi

lengo kuu haswa ni kumpongeza kashemeji changu jamani andrew swai kwa kuionyesha tanzania
wachaga atukuja dar kuangalia matairi ya gari wala kuhesabu magari ya showrooms tumekuja kutafuta
maisha kihalali kupitia elimu

kwa niaba ya familia ya mushi,moshi,sarangawe,kinabo,marealle,keteleei,
na familia zoteeee za kichaga tunakupongeza shemeji kwa kukomaa na shule
hii ndio future iliobakia kwenye dunia hii natumaini mungu aliekufikisha hapo
anajua wapi unapotakiwa kufika ...na sie wakina kirenga,,urewedi na wengineo
tunakutakia heri na fanaka na wengine wote waliomfwatia kwa kuonyesha nia ya kumpita shemeji yetu swaii

kafondao swaii
 
Hivi kwa nini Malaria Sugu anafungiwa? au ndio double standard yenyewe?
 
Hapana mkuu kuna shule zao zilizofanya vizuri zaidi mfano hii hapa chini hawana hata zero.

S0671 UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL
DIV-I = 10 DIV-II = 11 DIV-III = 20 DIV-IV = 46 FLD = 0[TABLE="width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 50%"]
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(REGIONWISE)​
[/TD]
[TD="width: 50%"]
12/215​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 50%"]
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(NATIONWISE)​
[/TD]
[TD="width: 50%"]
122/3108​
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Ya Ubungo lazima ifaulu au hujui kuwa mbunge wa Ubungo ni Hon. John Mnyika MP?

it iz rimakabo achivment kwa kweli
 
Huyu mtoto namjua tangu primary school alikosoma na mwanangu tangu std 1-7 na amekuwa anafanya vizuri sana akishika nafasi ya kwanza throughout. Sikushangaa kumsikia akiongoza form four. Hongera zake. Ila nadhani amekuwa na background nzuri ya wazazi. Babake ni mwalimu Muhimbili na mamake kama sijakosea kwenye miaka 80 kwenye mtihani wa kitaifa alipata A pekee kwenye somo moja siikymbuki.
 
Tukiendekeza utambuzi wa mafanikio ya watu kwa makundi tutapandikiza mbegu ya baadhi ya makundi kudhani kwamba wao kiasili wamezaliwa kuwaongoza wengine, matokeo yake tutakwenda rwanda au romania.

Nakubaliana na wewe. Hongera kwa kijana lakini sifuri kwa mleta mada.Hivi miaka iliyopita yote walikuwa wanaongoza wachaga?! Mungu ambariki huyo kijana kwa juhudi zake na si kwa kabila lake, asiwe na pumba kama mleta mada.Umedhihirisha kuwa uelewa sio kabila ila akili ya mtu!
 
Hongera sana mdogo wangu! kila la heri...lakini inabidi tuwaombee na wale wengine walioandika bongo fleva kwenye mitihani kwani nao ni watoto wetu vilevile...na wazazi nao walijitahidi kwa hali na mali kuwalipia ada lakini walichokifanya hata mzazi unaweza pigwa na butwaa kubwa...kizazi hiki mungu tusaidie..

Ila yule wa white house na dv 1V. Sitamsamehe
 
Ya Ubungo lazima ifaulu au hujui kuwa mbunge wa Ubungo ni Hon. John Mnyika MP?

it iz rimakabo achivment kwa kweli

sorry bimetafuta LI LIKE LA PILI NIMELIKOSA WACHA NIKUPE LA KICHAGA""""""""""""ALEEEEEEEKIIIIIILEEEEEEEEEEEEEEEE""""""""""""""""""

 
karibu mkuu nahisi elimu yangu imenisaidia zaidi kuliko wewe unahangaika bado na wahadhari mi nilishamalizana nao pole sana
much luv

mi nihangaika na wahadhiri kwan ni mwanafunzi? Unaandika upupu 2 na kuchochea udini usio na maana..
 
Kwanza hongera kwa shemeji zangu
sasa natumaini dunia kama si tanzania wanajua kwanini ttumejzana pale NA SI KWA KUBAHATISHA KAMA WANAVYOTABIRI NA CHAKULA SIO WALI /UGALI BALI ONGEZA NA NDIZI UWE NA AKILI
tra
bandari
ikulu
wizara za serikali
nk
si hicho tu 2015 tunataka kuingiiaaaa ikulu kabisa tushachok a kutomasana tomasana getini ikulu...hii inaonyesha kwamba watanzania wengi wanakubali sasa wachaga awakubahatisha kujazana
sehemu nyeti za serikalini na sasa wamehamia kwenye ngo zinazonuka hela nyingi nyingi

lengo kuu haswa ni kumpongeza kashemeji changu jamani andrew swai kwa kuionyesha tanzania
wachaga atukuja dar kuangalia matairi ya gari wala kuhesabu magari ya showrooms tumekuja kutafuta
maisha kihalali kupitia elimu

kwa niaba ya familia ya mushi,moshi,sarangawe,kinabo,marealle,keteleei,
na familia zoteeee za kichaga tunakupongeza shemeji kwa kukomaa na shule
hii ndio future iliobakia kwenye dunia hii natumaini mungu aliekufikisha hapo
anajua wapi unapotakiwa kufika ...na sie wakina kirenga,,urewedi na wengineo
tunakutakia heri na fanaka na wengine wote waliomfwatia kwa kuonyesha nia ya kumpita shemeji yetu swaii

kafondao swaii

hongereni sana,ila nasikia hizo ndizi za kichaga ndizo zinasababisha wanawake wachaga wanakuwa na shape ya simba,yaani namba 9 aka wanakuwa wanene juu chini wembambaaaa vimiguu fito kontena juu ya miwa,afu pia wamepigwa pasi backward.me naogopa sana hizi ndizi za moshi manake zinaharibu shape
 
Makabila yalozoea kupasua yapo kimya, wengne kubahatisha mwaka huu ishakuwa wimbo!thread ya kimajungu na uzandiki,haina mwelekeo!kizuri chajiuza,kibaya lazma kipge domo looh polen wachaga!
 
Back
Top Bottom