mwenzio ana machungu ya kufeli shule nzima div 3 mmoja
unafikiri yeye ana div gani??
pdidy mi ni certified public accountant na cna historia ya kupata div 3..katika maisha yangu cjui nini maana ya kufeli,so acha ukabila na udini..
mwenzio ana machungu ya kufeli shule nzima div 3 mmoja
unafikiri yeye ana div gani??
jibu unalo hapo kwenye red
kwa ufupi muelewe urithi wa wachaga ni elimu tangu zamani na kila mtoto anajitahidi kusoma kwa bidii ndio jadi yetu, kunapokuwa na ushindani lazima juhudi kubwa zihitajike na ndicho tunachofanya kwani ukifeli jamii nzima inahuzunika.
sijisifu wajamini hata mm nimepita seminari ya ST James Moshi na performance yangu ilikuwa nzuri hadi namaliza shahada ya pili. sasa wenzetu hawathamini elimu na wao kuanzisha seminari hawachuji na pia malezi wanayowapatia bado wanayo kazi kubwa...nakumbuka sisi tulianza 40 tukamaliza form four 32 tu.mda
wa kusoma ni mfupi na tulijithaidi sana,
ni ajabu sana kuona wenzetu hawapo kwenye list inasikitisha watafute mbinu mbadala.
Makabila yalozoea kupasua yapo kimya, wengne kubahatisha mwaka huu ishakuwa wimbo!thread ya kimajungu na uzandiki,haina mwelekeo!kizuri chajiuza,kibaya lazma kipge domo looh polen wachaga!
hongereni sana,ila nasikia hizo ndizi za kichaga ndizo zinasababisha wanawake wachaga wanakuwa na shape ya simba,yaani namba 9 aka wanakuwa wanene juu chini wembambaaaa vimiguu fito kontena juu ya miwa,afu pia wamepigwa pasi backward.me naogopa sana hizi ndizi za moshi manake zinaharibu shape
Siku mtakapoacha kuwasema wachagga.Kila siku mnaanzisha mada wachaga hiki, wachaga kile
Leo wamejianzishia wenyewe kujipongeza mnaiona ngondo!
Waacheni wajipongeze.
Hongereni WACHAGGA. HUWA TUNATAMANI TUWE KAMA NYIE NDIO MAANA KILA SIKU TWAWASEMA.
Huu ukabila utaisha lini humu jamvini?
This discussion is rubbish eti Kabila lina mchango kwenye kufaulu? hayo ni Mawazo mgando.....and by the way it is not you... Moderator remove this discussion people are losing focus of what JF was ment for. I think you would have help the Children at by telling us what they should do academically, how to behave and what makes someone successful in studies than just saying he did well because he is Mchagga.....
Kwanza hongera kwa shemeji zangu
sasa natumaini dunia kama si tanzania wanajua kwanini ttumejzana pale NA SI KWA KUBAHATISHA KAMA WANAVYOTABIRI NA CHAKULA SIO WALI /UGALI BALI ONGEZA NA NDIZI UWE NA AKILI
tra
bandari
ikulu
wizara za serikali
nk
si hicho tu 2015 tunataka kuingiiaaaa ikulu kabisa tushachok a kutomasana tomasana getini ikulu...hii inaonyesha kwamba watanzania wengi wanakubali sasa wachaga awakubahatisha kujazana
sehemu nyeti za serikalini na sasa wamehamia kwenye ngo zinazonuka hela nyingi nyingi
lengo kuu haswa ni kumpongeza kashemeji changu jamani andrew swai kwa kuionyesha tanzania
wachaga atukuja dar kuangalia matairi ya gari wala kuhesabu magari ya showrooms tumekuja kutafuta
maisha kihalali kupitia elimu
kwa niaba ya familia ya mushi,moshi,sarangawe,kinabo,marealle,keteleei,
na familia zoteeee za kichaga tunakupongeza shemeji kwa kukomaa na shule
hii ndio future iliobakia kwenye dunia hii natumaini mungu aliekufikisha hapo
anajua wapi unapotakiwa kufika ...na sie wakina kirenga,,urewedi na wengineo
tunakutakia heri na fanaka na wengine wote waliomfwatia kwa kuonyesha nia ya kumpita shemeji yetu swaii
kafondao swaii
hongereni sana,ila nasikia hizo ndizi za kichaga ndizo zinasababisha wanawake wachaga wanakuwa na shape ya simba,yaani namba 9 aka wanakuwa wanene juu chini wembambaaaa vimiguu fito kontena juu ya miwa,afu pia wamepigwa pasi backward.me naogopa sana hizi ndizi za moshi manake zinaharibu shape
Vipofu wakiona mwezi!Kwanza hongera kwa shemeji zangu
sasa natumaini dunia kama si tanzania wanajua kwanini ttumejzana pale NA SI KWA KUBAHATISHA KAMA WANAVYOTABIRI NA CHAKULA SIO WALI /UGALI BALI ONGEZA NA NDIZI UWE NA AKILI
tra
bandari
ikulu
wizara za serikali
nk
si hicho tu 2015 tunataka kuingiiaaaa ikulu kabisa tushachok a kutomasana tomasana getini ikulu...hii inaonyesha kwamba watanzania wengi wanakubali sasa wachaga awakubahatisha kujazana
sehemu nyeti za serikalini na sasa wamehamia kwenye ngo zinazonuka hela nyingi nyingi
lengo kuu haswa ni kumpongeza kashemeji changu jamani andrew swai kwa kuionyesha tanzania
wachaga atukuja dar kuangalia matairi ya gari wala kuhesabu magari ya showrooms tumekuja kutafuta
maisha kihalali kupitia elimu
kwa niaba ya familia ya mushi,moshi,sarangawe,kinabo,marealle,keteleei,
na familia zoteeee za kichaga tunakupongeza shemeji kwa kukomaa na shule
hii ndio future iliobakia kwenye dunia hii natumaini mungu aliekufikisha hapo
anajua wapi unapotakiwa kufika ...na sie wakina kirenga,,urewedi na wengineo
tunakutakia heri na fanaka na wengine wote waliomfwatia kwa kuonyesha nia ya kumpita shemeji yetu swaii
kafondao swaii
jibu unalo hapo kwenye red
kwa ufupi muelewe urithi wa wachaga ni elimu tangu zamani na kila mtoto anajitahidi kusoma kwa bidii ndio jadi yetu, kunapokuwa na ushindani lazima juhudi kubwa zihitajike na ndicho tunachofanya kwani ukifeli jamii nzima inahuzunika.
sijisifu wajamini hata mm nimepita seminari ya ST James Moshi na performance yangu ilikuwa nzuri hadi namaliza shahada ya pili. sasa wenzetu hawathamini elimu na wao kuanzisha seminari hawachuji na pia malezi wanayowapatia bado wanayo kazi kubwa...nakumbuka sisi tulianza 40 tukamaliza form four 32 tu.mda
wa kusoma ni mfupi na tulijithaidi sana,
ni ajabu sana kuona wenzetu hawapo kwenye list inasikitisha watafute mbinu mbadala.
Sasa kama baba ni mchaga unategemea mtoto awe mmakonde?Hata mi inanikera saana, huu ni ukabila wa kishabiki, kufaulu vizuri kunatokana na juhudi na kuwepo kwa mazingira yanayowezesha juhudi kuzaa matunda, sidhani kuwa kabila linamchango hapo, kwanza anauhakika gani kama huyo kijana ni ni mchaga? au kwa sababu baba yake ni mchaga?