ushauri sio kwamba nataka kurudiana nae, ila nataka nipate ushauri kuhusu vitu vyangu je nimfungulie mashtaka au nikaushe tu.
aiseee ila wanaume mmezidi
"Mbona yako ni Madogo,
Yalonkuta huwezi niamini,
Mbaka leo naishi hai.....!
Peter Msechu katika kiwango chake bora kabisa!
siku hizi vijana hawajielewiKweli kabisa miss chagga,
Hivi unaweza kuanzia wapi kuongea na mtu kama huyo na kujiuliza cha kufanya?
Anyway, tunatofautiana sana. Sikutegemea kabisa kama mtu anaweza kuwa na cha kufanya na mtu wa namna hiyo endapo alijitorokea mwenyewe!! Tena huko alikoenda akajilia maraha na kujipatia mavuno!
Hata hivyo naona vijana wa siku hizi wana jinsi yao kuishi!
huwezi kuelewa kabisamwanzo ulisema wanaume tu wachache now unasema wanaume tumezidi, i don't understand u.
Ukimrudisha usijeshangaa badae anakwambia mimba/mtoto si wako
ushauri sio kwamba nataka kurudiana nae, ila nataka nipate ushauri kuhusu vitu vyangu je nimfungulie mashtaka au nikaushe tu.
Mwache aende alipokuwa maana ndipo kwenye faida,si unaona kuwa kaja na mzigo kitu ambacho kwako hakikuwezekana?
siku hizi vijana hawajielewi
hizo siku zote ulizokaa hujamfungulia mashatka sa iweje leo ndio ukamfungulie ulishapotezea from the first day acha ibak hvyo hvyo anza upya na maisha yako? Halaf inaonekana mnakaa peke yenu kisiwani coz haiwezekan mtu aje abebe vyombo nyumba nzima na majiran wenu wamekaa kimya tu (mwambie mkeo wa zaman siku nyengne aache utetez wa kitoto kama kwel)
Ukistaajabu ya Nuhu Mziwanda, .......!
duh! aya bhana.
maneno yake hayajaniingia akilini ndo mana nikataka nipate mawazo tofauti.