Msamehe kama unaweza,ila kwa kosa hilo hata angekuwa mkeo wa ndoa unaruhusiwa kumuacha kidini.Maana usijifanye unamsamehe halafu kila mkigombana kidogo unakuwa wimbo ni huohuo
alikuwa na sharo akatoroka akaenda kwa vidume vya kweli
wakampa mimba na sasa karudi kwa sharo kulea mimba...
Kamuombee kibarua pale kona bar atajikimu kimaisha