Tamatheo
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 3,298
- 1,562
Usiangaike kwenda polisi au kumfukuza wewe fanya kazi ununue kitanda kwani kwa sasa ni haramu ila ukishanunua kitanda, kitanda hakizai haramu, nyambaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaafunimeuliza ivo kwa maana kuwa; nikamfungulie mashtaka ya kuniibia au nimpe talaka tu basi aende na safari zake?