Aliyenikataa karudi kwa mbwembwe...

Aliyenikataa karudi kwa mbwembwe...

B DOZEN B52

Member
Joined
Apr 22, 2014
Posts
28
Reaction score
1
Aliye nikataa karudi kwa mbwembwe na vizawadi vya kishenz baada ya kuniona B DOZEN B52 mambo yangu safii . Sijui nimuweke wapi wana MMU maana hata kwa buti ya gari hawez kaaa.. hebu nisidien
 
Aliye nikataa karudi kwa mbwembwe na vizawadi vya kishenz baada ya kuniona B DOZEN B52 mambo yangu safii . Sijui nimuweke wapi wana MMU maana hata kwa buti ya gari hawez kaaa.. hebu nisidien

Heshima ni kitu adhimu hata kwa waliokutenda. Ongea naye kistaarabu kwamba kwa sasa huwezi kuwa naye tena.
 
Ulinikataa mie maskini, ukenda na vishindo kwa shuga dadi, sasa amepata manyanga nyengine, unkula huu

Ulinikataa mie sina nyumba, ukenda na vishindo kwa shuga dadi, sasa wanifuatia fuatia nini, unkula huu

Ulinikataa mie ni fukara, ukenda na vishindo kwa shuga dadi, sasa kapata ndogo ndogo nyengine, unkula huu

Ulinikataa mie sina nyumba, ukenda kwa vishindo kwa shuga dadi, nikome tena unikome kabisa, unkula huu

Unkula huu dada na hasara juu!
 
Aliye nikataa karudi kwa mbwembwe na vizawadi vya kishenz baada ya kuniona B DOZEN B52 mambo yangu safii . Sijui nimuweke wapi wana MMU maana hata kwa buti ya gari hawez kaaa.. hebu nisidien
hahahaha mlete huku nimuweke store
 
Hvi leo wkend eh?wanafunz hawajaenda xcl eh? Basi sauwer
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom