Aliyenikataa karudi kwa mbwembwe...

Aliyenikataa karudi kwa mbwembwe...

Ulinikataa mie maskini, ukenda na vishindo kwa shuga dadi, sasa amepata manyanga nyengine, unkula huu

Ulinikataa mie sina nyumba, ukenda na vishindo kwa shuga dadi, sasa wanifuatia fuatia nini, unkula huu

Ulinikataa mie ni fukara, ukenda na vishindo kwa shuga dadi, sasa kapata ndogo ndogo nyengine, unkula huu

Ulinikataa mie sina nyumba, ukenda kwa vishindo kwa shuga dadi, nikome tena unikome kabisa, unkula huu

Unkula huu dada na hasara juu!

Haya mashair yamenibamba kinomanoma. Siku hz unatunga nyimbo
 

Attachments

  • 1399168755214.jpg
    1399168755214.jpg
    14.8 KB · Views: 104

Similar Discussions

Back
Top Bottom