Aliyemuua bilionare Erasto

omoyo

Member
Joined
Oct 25, 2011
Posts
8
Reaction score
4
Hatimaye aliyemmiminia risasi 21 Erasto akamatwa ni mtu wake wa karibu sana na alishawahi fungwa miaka sita kwa ujambazi.

 
Hatimaye aliyemmiminia risasi 21 Erasto akamatwa ni mtu wake wa karibu sana na alishawahi fungwa miaka sita kwa ujambazi.

Naskia hadi sasa wameshakamatwa watu watatu..na wamemtaja aliewatuma na malipo walipewa 150M.
 
mmh! ni nani huyo? maana Arusha mtu akitaka kulipiza kisasi anakutoa uhai.
 
Sasa kwa taarifa zisizo rasmi mtu anayeaminika aliyemua erasto ni rafiki yake wa karibu mnoo na mfanyabiashara mwenzake wa mawe ustaadh shariff. Huyu yeye ndio alitoa hela za kufanyia kazi.
 
Kuweni wapole wakuu kwani kila kitu najaribu kuiweka sawa kabisa na nitakuja full kwani mambo yanaendelea barabara~~~~~~~~~~~na huyu Odhitas Sharif yeye asilimia 1OO% kama haki itatendeka hakika anaweza akalamba mvua nyingi sana~~~~~~~~Kaeni mtindo wa kula kwani kila kitu chaja.
 
mtu wake wakaribu? mke wake? mdogo wake? au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…