Wasanii kama Hawa ni adimu sana kutokea na ni wakutunza ni rasilimali Kubwa, picha hii inafikirisha sana na inatoa somo Kubwa sana ktk maisha, usilale ukajisahau adui halali, na usiamini chochote,yeyote aliyeko karibu nawe anaweza kuwa ni adui na adui kashaingia mpaka kitandani ni ama zake au zako, au tayari adui ameshafika mpaka kitandani umekwisha. Kwa watu ambao ni matajiri, Viongozi wanakakiwa kuwa na watu wa kutafakari na kufuatilia wasanii wanaochora michoro ya aina hii, huwa wanakua kama ManabiiMaana naona mwanamke kalala na kuna mkia wa nyoka.
Anataka kutueleza nini KP?View attachment 1752383
Halima ndiye nani?Huyo ni Halima amelala na nyoka!
Mdee wa Chadema!halima ndiye nani?
Wasanii kama Hawa ni adimu sana kutokea na ni wakutunza ni rasilimali Kubwa, picha hii inafikirisha sana na inatoa somo Kubwa sana ktk maisha, usilale ukajisahau adui halali, na usiamini chochote,yeyote aliyeko karibu nawe anaweza kuwa ni adui na adui kashaingia mpaka kitandani ni ama zake au zako, au tayari adui ameshafika mpaka kitandani umekwisha. Kwa watu ambao ni matajiri, Viongozi wanakakiwa kuwa na watu wa kutafakari na kufuatilia wasanii wanaochora michoro ya aina hii, huwa wanakua kama Manabii


bi mkubwa ana kazi saanaDuh, nani amstue?Mama hajui lolote, yupo usingizini (hajaamka tangu alipokuwa VP) na kuna Joka kubwa linaendesha Nchi from "behind the scene". Joka lenyewe lipo ndani kabisa (bedroom/Ikulu)
ina maana 2Naomba ufafanuziView attachment 1752713